Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,336
- 30,926
kumbe ndiyo maana uko kama ulivyo kwa kuendekezaUshirikina.
ushirikina?
hicho sio kitu kizuri kwenye maendeleo ya uchumi gentleman

kumbe ndiyo maana uko kama ulivyo kwa kuendekezaUshirikina.

Inamaana ulizinguka gari zima kukagua kila mmoja simu anayoitumia?Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye huzi;
Leo nimetoka Kigamboni kuelekea Kariakoo kwa usafiri wa daladala, cha kustaajabisha ni kwamba 90% abiria kwenye gari hilo wanatumia iphone , wengi wao walionekana wanatumia X,XR,11 plain na pro,
Swala ambalo lilinistua na kunistaajabisha na kufikiria kwamba iphone ni sare za vikoba kwa wamama,mabinti na vijana.
#uzi tayari
Tunanyanyasika vimbau mbau 🥹😹😹khaaah