Hili nikilifumbia macho litaniumiza kimapenzi

Hili nikilifumbia macho litaniumiza kimapenzi

Pole sana, labda wife amekukata stimu.
 
Imebidi niseme maana nimewaza sana siku ya leo nikagundua kuwa imetokea mara kadhaa sasa ni nini? Kuna kipindi wife aliwahi kutamka kuwa huenda nachepuka, aliongea kwa upole sana na mimi sikumjibu kitu siku hiyo
ndugu hakuna njia ya mkato kukusaidia kuondokana na hali hiyo unachotakiwa kufanya nenda kanisani mazima mazima kajieleze kwa mchungaji shida yako hiyo akuombee ili hali hiyo ikutoke umevamiwa na jini mahaba ambalo limechukua nafasi ya upendo kwa mkeo na hivyo kushindwa kumtamani mkeo hujisikii kumfanya, unajisikia uchovu mda mwingi nakushauri chukua hatua hiyo nawe utafanikiwa na kurejesha furaha na mapenzi kwa mkeo ndugu..
 
u hv been posessed cha kufanya ili kuiokoa ndoa yako mapema nikufanya maombi ikibidi upate msaada wa maombi kwa watu wenye uwezo wa kuondoa mapepo NB usijalibu kwenda kwa mganga utapotea
 
Back
Top Bottom