Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
Lol! Hii imeaniacha hoi! Kwamba jamaa kazimika na so called uchovu wake halafu huku mamsapu anajisevia.
Hahah mama naniiii anataka wewe unasema umechoka unalala sio kirahisii
Lol! Hii imeaniacha hoi! Kwamba jamaa kazimika na so called uchovu wake halafu huku mamsapu anajisevia.
Mtafute mshenga wenu umueleze hili jamboHabari za mchana wana Jf's
Jamani kuna jambo limenitokea kwa hiyo naomba ushauri wenu kwani naamini nikichanganya na zangu hapa ni mahali sahihi.
Ni leo usiku ambapo pamoja na kwamba mke wangu nampenda lakini nilikuwa sijisikii kufanya nae mapenzi licha ya yeye kunibembeleza sana kiasi cha keleta usumbufu nikashindwa kulala vizuri na nimejikuta leo nachelewa kazini.
Cha ajabu zaidi ni kwamba mda nilipopata usingizi nilipata ndoto nyevu hadi kujikojolea. Na hili limetokea mara kadhaa tangu miezi minne hivi iliyopita.
Sasa najiuliza hii ni nini huku nabembelezwa nyapu halafu najisikia uchobu balaa na hapohapo naota ndoto za ku do?
Nimejikuta naanza kumchukia mke wangu kwa kusababisha nichelewe kazini na hapa naandika nikiwa na hasira sana, naombeni ushauri kama nina tatizo nipate ufumbuzi.
yanguHabari za mchana wana Jf's
Jamani kuna jambo limenitokea kwa hiyo naomba ushauri wenu kwani naamini nikichanganya na zangu hapa ni mahali sahihi.
Ni leo usiku ambapo pamoja na kwamba mke wangu nampenda lakini nilikuwa sijisikii kufanya nae mapenzi licha ya yeye kunibembeleza sana kiasi cha keleta usumbufu nikashindwa kulala vizuri na nimejikuta leo nachelewa kazini.
Cha ajabu zaidi ni kwamba mda nilipopata usingizi nilipata ndoto nyevu hadi kujikojolea. Na hili limetokea mara kadhaa tangu miezi minne hivi iliyopita.
Sasa najiuliza hii ni nini huku nabembelezwa nyapu halafu najisikia uchobu balaa na hapohapo naota ndoto za ku do?
Nimejikuta naanza kumchukia mke wangu kwa kusababisha nichelewe kazini na hapa naandika nikiwa na hasira sana, naombeni ushauri kama nina tatizo nipate ufumbuzi.
Ndg.Mpendwa... Pole sana !! ila punguza MISONGO (tatua mambo ya kazi/urafiki/kijiweni nk huko nje ) Ukifika home uwe Romantic hata kisaanii (act frendly) halafu KUNYWA KAHAWA 4 cups a day ukiweza kula lozi/nuts !! after three day lete MAREJESHO hapa !!!Habari za mchana wana Jf's
Jamani kuna jambo limenitokea kwa hiyo naomba ushauri wenu kwani naamini nikichanganya na zangu hapa ni mahali sahihi.
Ni leo usiku ambapo pamoja na kwamba mke wangu nampenda lakini nilikuwa sijisikii kufanya nae mapenzi licha ya yeye kunibembeleza sana kiasi cha keleta usumbufu nikashindwa kulala vizuri na nimejikuta leo nachelewa kazini.
Cha ajabu zaidi ni kwamba mda nilipopata usingizi nilipata ndoto nyevu hadi kujikojolea. Na hili limetokea mara kadhaa tangu miezi minne hivi iliyopita.
Sasa najiuliza hii ni nini huku nabembelezwa nyapu halafu najisikia uchobu balaa na hapohapo naota ndoto za ku do?
Nimejikuta naanza kumchukia mke wangu kwa kusababisha nichelewe kazini na hapa naandika nikiwa na hasira sana, naombeni ushauri kama nina tatizo nipate ufumbuzi.
Njia fupi ingine... Badilisha mazingira ya chumba (vyumba vyako) afu muende Vacation kidogo.. !!utaoona utaamu!!Mimi mkiristo
Pole zaidi " karanga /njugu/ dengu/ Vitafunio mbegumbegu tende !!!Asante Zamiluni kwa ushauri,sijaelewa lozi nuts ni kitu gani hicho
mshana jrHabari za mchana wana Jf's
Jamani kuna jambo limenitokea kwa hiyo naomba ushauri wenu kwani naamini nikichanganya na zangu hapa ni mahali sahihi.
Ni leo usiku ambapo pamoja na kwamba mke wangu nampenda lakini nilikuwa sijisikii kufanya nae mapenzi licha ya yeye kunibembeleza sana kiasi cha keleta usumbufu nikashindwa kulala vizuri na nimejikuta leo nachelewa kazini.
Cha ajabu zaidi ni kwamba mda nilipopata usingizi nilipata ndoto nyevu hadi kujikojolea. Na hili limetokea mara kadhaa tangu miezi minne hivi iliyopita.
Sasa najiuliza hii ni nini huku nabembelezwa nyapu halafu najisikia uchobu balaa na hapohapo naota ndoto za ku do?
Nimejikuta naanza kumchukia mke wangu kwa kusababisha nichelewe kazini na hapa naandika nikiwa na hasira sana, naombeni ushauri kama nina tatizo nipate ufumbuzi.