Hili ndio Gundu haswaa

Nipo ndan ya basi nimekaa na papuchi, nimenunua korosho kiroho safi nikasema nimgawie kidogo basi kakinga mikono miwili ile kumimina tu kumbe nimeshika pakti vibaya nashtuka zimeenda nyingi kwake yani nimebaki na za kusuuzia mdomo tu.


Huyu demu sijui ni chuma ulete?


Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaaa ni nyoko sana yaani nimecheka mpaka nimepaliwa na mate
Pole sana mdau bahati mbaya tu nunua zingine kwa chinga hapo dirishani
Ila duh wewe kiboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alitumwa ampe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliniangalia like...

Nikaona nivunge tu
FB_IMG_15299893504249791.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo ndan ya basi nimekaa na papuchi, nimenunua korosho kiroho safi nikasema nimgawie kidogo basi kakinga mikono miwili ile kumimina tu kumbe nimeshika pakti vibaya nashtuka zimeenda nyingi kwake yani nimebaki na za kusuuzia mdomo tu.


Huyu demu sijui ni chuma ulete?


Sent using Jamii Forums mobile app


Haya sasa ni mazingaombwe, yaani umekaa na papuchi tu, mwili wake huko wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom