PreGE2025 Hili ndilo shtaka la Tundu Lissu

PreGE2025 Hili ndilo shtaka la Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wakili wa utetezi
Je kukinukisha maana yake ni nini?
Mwendesha mastaka " Kuleta fujo, vurugu na vita"

Wakili wa utetezi
Ndo kamusi ya kiswahili sanifi inavyosema?

Mwendesha mastaka
Sina uhakika

Wakili wa utetezi
Je unashughulika na kitu usicho na uhakika nacho?

Mwendesha mastaka
Kimyaaaaa

Hizi aibu tutazishuhudia kabla ya jua la utosi
 
Ni watu wa hovyo sana huko serikalini.

Mashitaka yote ambayo wangeweza kumpa with lesser punishment kumnyoosha tu. Wao wameenda chagua lile ambalo adhabu yake ni kifo.

Huko sasa si ndio kumtafutia Lissu international attention, kujitafutia vikwazo vya kimataifa and bad publicity.

Very stupid people
Huu ujinga muasisi wake ni dhalimu magu.
 
Hilo kosa kubwa sana, lazima afungwe
Adhabu yake huwa ni kunyongwa hadi kufa, siyo kifungo. Ni makosa mawili tu nchini kwetu ambayo yakithibitika mahakamani bila kuacha shaka adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Makosa haya ni murder and treason. Makosa ya uchochezi ndiyo yenye adhabu ya kifungo. Hata makosa ya ugaidi kama hayakusababisha mauaji adhabu zake ni kifungo. By intention and his actions so far Lissu has commited treason according to the penal code as quoted.

Zamu hii kanasa. Huko nyuma alikuwa akishitakiwa kwa makosa ya uchochezi tu ambayo adhabu yake ni ndogo. Zamu hii kafanya uhaini wenyewe na ametamba hadhari kwamba ataendelea na uhaini huo hadi siku ya uchaguzi atakapoiondoa serikali ya JMT
 
Wakili wa utetezi
Je kukinukisha maana yake ni nini?
Mwendesha mastaka " Kuleta fujo, vurugu na vita"

Wakili wa utetezi
Ndo kamusi ya kiswahili sanifi inavyosema?

Mwendesha mastaka
Sina uhakika

Wakili wa utetezi
Je unashughulika na kitu usicho na uhakika nacho?

Mwendesha mastaka
Kimyaaaaa

Hizi aibu tutazishuhudia kabla ya jua la utosi
Na ndivyo itakavyokuwa😃
 
Hili jeshi letu la Polisi sijui linaongozwa na watu wa aina gani? Sasa uhaini aliofanya Tundu Lissu uko wapi?

Kuhamasisha watu kuwa watazuia uchaguzi wa October 2025 ni uhaini? Kwani kuna uchaguzi ambao umezuiwa? Sasa huo uhaini wanautafsiri vipi? Ni kipi alichofanya? Amehamasisha mapinduzi kwenye mikitano aliyohutubia? Na huo uchaguzi usipofanyika kwa sababu nyingine itakuwa pia ni uhaini?

Hili jeshi la Polisi na ofisi ya DPP wana watendaji wa aina gani? Yani vijishtaka vya ajabu ajabu na posho za walipa kodi wanapewa kabisa.

..Maandamano -- Haki ya Kikatiba.

..Reforms. -- zoezi la Kikatiba.

..Uchaguzi -- zoezi la Kikatiba.
 
Yale Yale ya PGO Lisu atawavuruga kweli kweli mahakamani!!Wala sio utani!wasifikiri ni Mbowe huyo!!
 
😃

Nasubiri kusikiliza hii kesi kwa hamu, haswa kwenye kipengele ambacho Jamhuri itapaswa ioneshe "njama ya uhaini"...
 
Ni muumini wa utawala wa sheria, kwani hivyo vifungu havipo?

Utawala wa sheria ungekuwa unafuatiliwa basi kauli za Nape alizozitoa Kagera juu ya kuingilia matokeo ya uchaguzi mkuu, kosa lake lingelingana na hili analotuhumiwa TAL...
 
Hivi huu waraka umeandikwa na mtu aliyesomea sheria na kuhitimu au ni askari polisi aliyejikuta kwenye nafasi ya kuandika charge sheets vile anavyoona yeye inafaa? 😳 :AYOOO:
 
Hivi huu waraka umeandikwa na mtu aliyesomea sheria na kuhitimu au ni askari polisi aliyejikuta kwenye nafasi ya kuandika charge sheets vile anavyoona yeye inafaa? 😳 :AYOOO:
Wale jamaa wanaokaaga kaunta pale.
 
Inasikitisha sana

Anyway, JPM alisingiziwa mabaya mengi 😎
Huyo Nduli hajasingiziwa chochote alisema mwenyewe atafuta upinzani hasa Chadema!! Matokeo yake kafutika yeye Chadema kaiacha kama ilivyo!!!
 
Hakuna kesi hapo, wanajitafutia aibu tu kama ilivyokuwa kwenye kesi ya mchongo ya ugaidi wa Mbowe.
 
Back
Top Bottom