Vingi tu
A dick
A hug
Care
Understanding
Itaendelea.....
22. Marufuku kuhoji chochote kinachomhusu mumeo, hata akikurudia asubuhi mpokee kwa mabusu motomoto, ukigundua ana kamchepuko huruhusiwi kukasirika sanasana mtie moyo kuwa unaelewa kwa nini anachepuka na umuombe radhi kwa kufuatilia maisha yake binafsi.
Niendelee?
mtarajiwa lengo la kuchungulia uzi huu nini et!Ukweli mtupu
Ila haters watasema limbwata la kumteka mwanamke ni kumpa pesa
Sio haters huo ndio ukweli,mtoa mada kaeleza limbwata la mwanaume ila limbwata la mwanamke niUkweli mtupu
Ila haters watasema limbwata la kumteka mwanamke ni kumpa pesa
Nilikuwa naangalia nifanye vitu gani ili niendelee kukuteka mtarajiwamtarajiwa lengo la kuchungulia uzi huu nini et!
ina maana money hamtak tena??
Kumbe tako lina nafasi kwenye ndoa?Sijaona sehemu ukizingumzia tako([emoji527]) ndoa yafaa nini bila uwepo wake
mbona yeye kaongelea wanaume,hiyo ya limbwata la mwanamke ni pesa hata watoto wanajuaUkweli mtupu
Ila haters watasema limbwata la kumteka mwanamke ni kumpa pesa
ukiendelea nitag binamu22. Marufuku kuhoji chochote kinachomhusu mumeo, hata akikurudia asubuhi mpokee kwa mabusu motomoto, ukigundua ana kamchepuko huruhusiwi kukasirika sanasana mtie moyo kuwa unaelewa kwa nini anachepuka na umuombe radhi kwa kufuatilia maisha yake binafsi.
Niendelee?
Kwahiyo nikija pm iwapo mambo yataenda vizuri inabidi nijipange kisawa sawa?Vingi tu
A dick
A hug
Care
Understanding
Itaendelea.....
Mambo hayawezi kwenda vizuriKwahiyo nikija pm iwapo mambo yataenda vizuri inabidi nijipange kisawa sawa?
Mambo hayawezi kwenda vizuri