Hili mwalifurahia lakini .... Look beyond ......

Development is about improvement not perfection cause there is no perfection in this non-perfect world. Katika JF tunategemewa kuwa great thinkers tusaidie policy makers kukaribia perfection ili wananchi wasio na sauti waweze kunufaika na mawazo yetu. Inashangaza pale tulio katika JF tunaposhangilia move za hatari kwa taifa letu ambazo mwisho wake ni matatizo kwa wananchi wote.

"Endapo umeomba Urais mara ya kwanza ukakosa, halafu unasusia kila kitu bila hata ku-recognise effort za msingi ambazo taasisi kama NEC wamezifanya ku-improve transparency katika suala zima la uchaguzi inaleta wasiwasi endapo utapata nafasi hiyo utaweza kutoka freely muda wa kupumzika ukiwadia!!!"

Kwa vyovyote vile hiyo siyo sifa nzuri sana kwa waheshimiwa tuliowapigia kura tukidhani wanania njema na Taifa letu.

I am not sure if u know what u r talking about, You talk about Transparency? Tell me which one? Kutufanya Watanzania mbumbumbu, hivi unajua ni idadi ngapi ya kura zimekuwa declared kwamba zimeharibika? Go and find out! Fanya utafiti usiongee tu.
 
We kwa mtazamo wako unaona NEC walikuwa transparent??
I am not surprised unaona kudai haki na kutokukubaliana na dhuluma ni jambo la hatari kwa taifa
 
Development is about improvement not perfection cause there is no perfection in this non-perfect world. Katika JF tunategemewa kuwa great thinkers tusaidie policy makers kukaribia perfection ili wananchi wasio na sauti waweze kunufaika na mawazo yetu. Inashangaza pale tulio katika JF tunaposhangilia move za hatari kwa taifa letu ambazo mwisho wake ni matatizo kwa wananchi wote.

"Endapo umeomba Urais mara ya kwanza ukakosa, halafu unasusia kila kitu bila hata ku-recognise effort za msingi ambazo taasisi kama NEC wamezifanya ku-improve transparency katika suala zima la uchaguzi inaleta wasiwasi endapo utapata nafasi hiyo utaweza kutoka freely muda wa kupumzika ukiwadia!!!"

Kwa vyovyote vile hiyo siyo sifa nzuri sana kwa waheshimiwa tuliowapigia kura tukidhani wanania njema na Taifa letu.
Hapa mkuu wangu umechemsha!
 
Development is about improvement not perfection cause there is no perfection in this non-perfect world.

Agree with u; but talking abt improvement, Miaka 50 ya Uhuru bado watoto hawana hata madawati ya kukalia darasani, Lakini serikali hiyo ina-afford kununua mavx ya tshs karibu 200 millions. Do u have any idea unaweza kupata madawati mangapi? Huo ni mfano mdogo tu. Do u call that improvement? Kama msemaji mmoja hapo juu alivyosema, "You are the one who should look beyond".
 
Development is about improvement not perfection cause there is no perfection in this non-perfect world. Katika JF tunategemewa kuwa great thinkers tusaidie policy makers kukaribia perfection ili wananchi wasio na sauti waweze kunufaika na mawazo yetu. Inashangaza pale tulio katika JF tunaposhangilia move za hatari kwa taifa letu ambazo mwisho wake ni matatizo kwa wananchi wote.

"Endapo umeomba Urais mara ya kwanza ukakosa, halafu unasusia kila kitu bila hata ku-recognise effort za msingi ambazo taasisi kama NEC wamezifanya ku-improve transparency katika suala zima la uchaguzi inaleta wasiwasi endapo utapata nafasi hiyo utaweza kutoka freely muda wa kupumzika ukiwadia!!!"

Kwa vyovyote vile hiyo siyo sifa nzuri sana kwa waheshimiwa tuliowapigia kura tukidhani wanania njema na Taifa letu.

Unasema??
 
what tranparency are u talking abt? kubadilisha matokeo is what u call transparency? fikiria unapocomment sio kuandika tu kisa ni member wa jf. naona umekurupuka kama makamba, kibonde na jei key wenu.
 
Utakuwa kada wa chama fulani wewe
Transparency!!!!!!!!!!!!!!Basi matokeo ya URAISI yangetangazwa uko uko majimboni na NEC wangefanya summation tuu na sio kuyaedit na kumpa JK wingi wa kura.
Ngoja CDM waje na ushaidi ndo utapojua mbivu na mbichi
Mkuu utakuwa ulikuwa ughaibuni na sio Tz
 
We kwa mtazamo wako unaona NEC walikuwa transparent??
I am not surprised unaona kudai haki na kutokukubaliana na dhuluma ni jambo la hatari kwa taifa

My take: comparing to previous elections nadhani this time NEC wamejitahidi kiasi kikubwa kuwa transparent and I believe will continue improving.
Kuhusu kudai haki nadhani CHADEMA na opposition kwa ujumla wana chance kubwa ya kutumia platform ya Bunge kuonyesha mchango wao kwa taifa hasa ukizingatia kuwa wamejitahidi kuongeza idadi ya wabunge tena wenye upeo wa kufikiri. To me the option chosen now haitakuwa na tija kwetu wapiga kura.
 
Waoga hufa mara nyingi kabla ya kifo chao!!! Suala siyo kukubali au kukataa kushindwa ila suala ni matokeo halisi ya kile watanzania walichosema kwenye sanduku la kura. Kiwekwe wazi kila mtu ajue. Period!!!
 
May be you are right may be not, inategemea kichwani kuna nini!!!

Fikira zako ulizoanika jamvini ndizo zinazokuhumu. Kwani wachangiaji wote wasiokuelewa wana matatizo gani na wewe. Naomba ujikomboe kutoka fikra mgando. Kwanza usimamie ukweli. Rais wako JK amechakachua matokeo ya kura halali za wananchi. Tulia kidogo utaanikiwa ushahidi halafu utajilaumu.
 
My take: comparing to previous elections nadhani this time NEC wamejitahidi kiasi kikubwa kuwa transparent and I believe will continue improving.
Kuhusu kudai haki nadhani CHADEMA na opposition kwa ujumla wana chance kubwa ya kutumia platform ya Bunge kuonyesha mchango wao kwa taifa hasa ukizingatia kuwa wamejitahidi kuongeza idadi ya wabunge tena wenye upeo wa kufikiri. To me the option chosen now haitakuwa na tija kwetu wapiga kura.

Join CCM do not pretend.
 
Chama Cha Majambazi na makuwadi wao wanatapatapa sasa, mambo bado hizi ni rasha rasha tu.
 
looking beyond, yes, we r looking beyond mamluki ya CCM; what you need to do mtoa hoja is to look "behind/back" perhaps it could help you to see the reality of wananchi wa Tanzania; only those who have looked back seriously are able to look beyond from this fake system and strategize. Unapotoa mada huwa unafikiria kweli?
 
My take: comparing to previous elections nadhani this time NEC wamejitahidi kiasi kikubwa kuwa transparent and I believe will continue improving.
Kuhusu kudai haki nadhani CHADEMA na opposition kwa ujumla wana chance kubwa ya kutumia platform ya Bunge kuonyesha mchango wao kwa taifa hasa ukizingatia kuwa wamejitahidi kuongeza idadi ya wabunge tena wenye upeo wa kufikiri. To me the option chosen now haitakuwa na tija kwetu wapiga kura.
Kujitahidi kwa kiasi kikubwa is not enough. Unakumbuka Kikwete alisema nini wakati alipotangazwa mshindi na NEC? Alisema kuna haja ya kuhakikisha kuwa NEC ni chombo independent. Unadhani kwa nini alisema hivyo? Mwaka 2005 baada ya ushindi wake Kikwete huyo huyo alisema kuwa CCM inapaswa kutafuta njia za kuhakikisha kuwa hela chafu hazitumiki katika uchaguzi. This was before EPA scandal broke and the Tanzanians were informed that CCM used "stolen Moenye" to win an election. Then 2 days before the election the same Kikwete lays out in detail how votes are stolen. Are these just coincidences? The President of the people of the United Republic of Tanzania tells the people how votes are stolen? And then you tell us NEC wamejitahidi? Try again.
 
Development is about improvement not perfection cause there is no perfection in this non-perfect world. Katika JF tunategemewa kuwa great thinkers tusaidie policy makers kukaribia perfection ili wananchi wasio na sauti waweze kunufaika na mawazo yetu. Inashangaza pale tulio katika JF tunaposhangilia move za hatari kwa taifa letu ambazo mwisho wake ni matatizo kwa wananchi wote.

"Endapo umeomba Urais mara ya kwanza ukakosa, halafu unasusia kila kitu bila hata ku-recognise effort za msingi ambazo taasisi kama NEC wamezifanya ku-improve transparency katika suala zima la uchaguzi inaleta wasiwasi endapo utapata nafasi hiyo utaweza kutoka freely muda wa kupumzika ukiwadia!!!"

Kwa vyovyote vile hiyo siyo sifa nzuri sana kwa waheshimiwa tuliowapigia kura tukidhani wanania njema na Taifa letu.


Hivi ukiambiwa wewe tahira ni makosa? Kwa taarifa yako ile ndiyo stahili aliyotakiwa kupata kikwete, hata dunia nzima inajua JK kaiba kura

CHADEMA wangekubali kushiriki kuapishwa kwa Waziri Mkuu, halafu wakamsikiliza JK, ningesema hao wanafiki, wanatudanganya sisi wananchi, kwa sababu haiwezekani wakatangaza kwamba hawamtambui, halafu huku wanashiriki kwenye shughuli zake.

Najua watu wajinga kama wewe bado mngejenga hoja ya kuiponda CHADEMA endapo wangeshiriki kumsikiliza huyo mwizi na mbakaji wa demokrasia tz.
 
Truth???????????????????????????? U must b Jockin.......Dont u???????????
 
Back
Top Bottom