Hili likikutokea ufanye nini?

hii thread imecomplete my day, khaaaaaaaaa! kweli waeza ona tatizo kumbe la mwenzio ni roba la misumari kha! pole mwaya!
 
We lea tu mtoto, ila safari ijayo hakikisha unatoa mbegu black tiií toto litoke jeusi,
 
hii thread imecomplete my day, khaaaaaaaaa! kweli waeza ona tatizo kumbe la mwenzio ni roba la misumari kha! pole mwaya!

Wife unafanya nini huku? Nikuambie kitu? Mi huwa najiuliza wanaume wenzangu wanapataje muda wa kuwachunguza watoto? Yani badala ya kwenda bar kuongeza pato la serikali kwa kuupiga mtungi we unang'ang'ana kumchungulia mtoto. Ndo maana idadi ya wanaume wanaowamega mabinti zao inazidi kuongezeka. Hebu kam zis way bana unipe bebi boi.....
 
Wife unafanya nini huku? Nikuambie kitu? Mi huwa najiuliza wanaume wenzangu wanapataje muda wa kuwachunguza watoto? Yani badala ya kwenda bar kuongeza pato la serikali kwa kuupiga mtungi we unang'ang'ana kumchungulia mtoto. Ndo maana idadi ya wanaume wanaowamega mabinti zao inazidi kuongezeka. Hebu kam zis way bana unipe bebi boi.....
umeona eeeee?? umejuaje nataka bebi boy jamani?? hivi ulisema tutamuita nani vile kha!
 
Back
Top Bottom