sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
aah ...bwana eeehh...mi sijui hata niseme nini hapo...!! pole tu..
hii thread imecomplete my day, khaaaaaaaaa! kweli waeza ona tatizo kumbe la mwenzio ni roba la misumari kha! pole mwaya!
umeona eeeee?? umejuaje nataka bebi boy jamani?? hivi ulisema tutamuita nani vile kha!Wife unafanya nini huku? Nikuambie kitu? Mi huwa najiuliza wanaume wenzangu wanapataje muda wa kuwachunguza watoto? Yani badala ya kwenda bar kuongeza pato la serikali kwa kuupiga mtungi we unang'ang'ana kumchungulia mtoto. Ndo maana idadi ya wanaume wanaowamega mabinti zao inazidi kuongezeka. Hebu kam zis way bana unipe bebi boi.....