Fyengeresya
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 750
- 338
Kwani alikuwa kiongozi wa Kanisa?Nyerere alipotaifisha shule za Makanisa alikuwa na nia ya kutua mzigo wa kanisa?
Kwani alikuwa kiongozi wa Kanisa?Nyerere alipotaifisha shule za Makanisa alikuwa na nia ya kutua mzigo wa kanisa?
Na ambavyo ki ukweli wameshindwa hata kuviendeshaSiyo mbaya.... Ila aende mbele na kutaifisha viwanja vingi vya michezo ambavyo CCM ilivikwapua kwa wananchi!!!
Mimi naona ukakasi upo kwenye msamiati wa "KUTAIFISHA" tena mali zako mwenyewe badala ya kuzigawa au kutoa msaada kama wengine tulivyofanya.Kwani shida iko wapi..mimi sijaelewa vizuri hebu nisaidie kunielewesha mkuu...maana mimi naona kwamba hata kama hiyo shule imeshindwa kujiendesha..je serikali ikiichukua si inakua ni nafuu kwa serikali kwa sababu imepata shule pasipo kuingia gharama kubwa ukizingatia shule zilizopo hazitoshi nchini.
Qwi Qwi Qwi..... Meza rula mkuu, ili next time ukiongea haya maneno yatoke yakiwa yamepigiwa mstari kabisa.Kwa hiyo MADENI yote inayodaiwa shule hii italipwa na Serikali?
NINA HAKIKA WATU WANAOSHANGILIA MAKIDA MAKIDA YA JPM NI WATU AMBAO WENGI WAO HAWAJASOMA AU HUENDA WANA UVIVU WA KUFIKIRIAHatutaki heri yako ya mwaka mpya.....najua roho zinawauma sana jinsi JPM anavyopiga kazi..na baaaado
Viva Magufuli
Actually kama tuna nia ya dhati ya kuvutia wawekezaji kuleta hela zao kuwekeza kwenye viwanda, inabidi huu msamiati utuondoke kabisa. Wawekezaji wanaogopa hii kitu kama UKOMA.Mimi naona ukakasi upo kwenye msamiati wa "KUTAIFISHA" tena mali zako mwenyewe badala ya kuzigawa au kutoa msaada kama wengine tulivyofanya.
point mnayoimiss ni kuwa kasema kama yatahitajika malipo kwa wanaotaifishiwa shule atamwagiza ndally afuatilie suala hilo,Shule ya CCM imetaifishwa na Serikali ya CCM kwa amri ya Mwenyekiti wa CCM
Hatutaki heri yako ya mwaka mpya.....najua roho zinawauma sana jinsi JPM anavyopiga kazi..na baaaado
Viva Magufuli
Umesema vyema, waache kutupaka mafuta ya mgongo wa chupa.Swali lingine dogo tu, Je ccm inashule ngapi na kwanini zisitaifishwe zote!
Hilo Swali ni gumu sana kwake, maana imeonyesha dhahiri uwezo wake wa kufikiri ni mdogoNyerere alipotaifisha shule za Makanisa alikuwa na nia ya kutua mzigo wa kanisa?
Nikikuita k**a sijui kama ntakua nakoseaHatutaki heri yako ya mwaka mpya.....najua roho zinawauma sana jinsi JPM anavyopiga kazi..na baaaado
Viva Magufuli
Dah We mgando sana, kifupi kilazaNyie ni walewale tu wanaolipwa kwa ajili ya kukosoa kila jambo tulishawazoea
Kuna thread wame imerge ,ila ni kwamba hii ni dalili mbaya na hila nyingi.Siku za nyuma tumeona wakianza muve kuna mtu anaviziwa.Na shule za private zimepigwa vita sana.Hii move inaweza kuwa ni kuchukua shule za private sasa kunafuatia.JMP aliposema eti ametaifisha shule ya ccm (Omwani) na kuwa ya serikali watu wakashangilia na kudai eti ni mzalendo wa kweli.
Kwa ufupi tu ni kwamba kwa wanaoifahamu shule ya omwani hawawezi kushangilia hiki kitu.
Shule hii haikuwa productive kwa ccm na ilikuwa ni mzigo kwa ccm na ilikuwa inajiendesha kwa hasara. Ni shule ambayo ilikuwa inabeba makapi ya wanafunzi na wale wazazi walikuwa hawana huwezo wa kupeleka watoto katika shule zenye sifa nzuri yankufaukisha.
Pili hili jambo lilishajadilika kwenye vikao vya ccm namna ya kutua huo mzigo. Na ndio maana unaona serikali inabeba mzigo wote hadi wa waalimu wake ili kuiokoa ccm na mzigo wa madeni. Kwa kifupi huu ni ufisadi mwingine.
Swali la kujiuliza hivi ni kweli shule hii ingekuwa inafanya vizuri katika elimu na ikawa inajiendesha kwa faida JMP angeitaifisha. Jipu ni hapana. CCM wasingekubali kuiachia. Swali lingine dogo tu, Je ccm inashule ngapi na kwanini zisitaifishwe zote!
Watanzania wenzangu tusiwe wepesi wa kushangilia kila jambo bali tujaribu kujiuliza maswali juu ya nini kiko nyuma ya uamzi uliofikiwa.
Kwa hili la shule ya umwani ni sawa na kupewa gari lililojuu ya mawe ambalo mwenye nalo limemsha mshinda. Hapa tumepigwa changa macho.
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya.
Ningekuona mwenye maana kama ungepinga na kutueleza sababu unazozijua wewe kwanini imetaifishwa.Mleta mada, tafuta sababu kuu ya kutaifishwa kwa hiyo shule then ndo uanze kuuliza vijiswali vyako vya uchonganishi.