Nyerere alitaifisha shule zote za kanisa na misikiti. Je rais anapata wapi uwezo wa kutaifisha mali za chama cha siasa. Kama iliendeshwa kwa hasara, mbona viwanja vya michezo vinavyomilikiwa na ccm na vinaendehwa kwa hasara havitaifishwi? Au ni suala la muda!Nyerere alipotaifisha shule za Makanisa alikuwa na nia ya kutua mzigo wa kanisa?
Shule ya CCM imetaifishwa na Serikali ya CCM kwa amri ya Mwenyekiti wa CCMHaiingii akilini kuwa "eti ametaifisha" shule,
Kutaifisha maana yake ni kuchukua mali bila ya ridhaa na bila fidia. Sasa Magufuli ndiye Serikali, na ndiye SisiEm. Hapa anataisha je? Alichofanya ni kuhamishia umiliki upande wa pili alipoona ni rahisi kufaniskisha uendeshaji wa shule. Ingekuwa shule ni ya CUF ningeelewa huo utaifishaji, lkn sio shule ya CCM chini ya Mwenyekiti wa CCM Magufuli na rais wa JMT Magufuli.
Nyerere alipotaifisha shule za Makanisa alikuwa na nia ya kutua mzigo wa kanisa?
Hatutaki heri yako ya mwaka mpya.....najua roho zinawauma sana jinsi JPM anavyopiga kazi..na baaaado
Viva Magufuli
Kwanini hajataifisha shule zote zilizo chini Ya ccm? Mwenye uelewa usiokuwa na Mashaka atanijibu
Mkuu je ccm Inge nyang'anya kwa wananchi shule ndo angefurahi mtoa Maada mi sijamwelewaNyie ni walewale tu wanaolipwa kwa ajili ya kukosoa kila jambo tulishawazoea
Mimi sijabahatika kuisikiliza hotuba yake. Nisaidieni kujua ametoa sababu zipi zilizopelekea uamuzi wa "kuitaifisha" shule hiyo?Kwanini hajataifisha shule zote zilizo chini Ya ccm? Mwenye uelewa usiokuwa na Mashaka atanijibu
Huwezi kumwelewa.Mkuu je ccm Inge nyang'anya kwa wananchi shule ndo angefurahi mtoa Maada mi sijamwelewa
Ndio hiyo mkuuHuwezi kumwelewa.
Hebu nimumbuushe. Hivi hii ndiyo ile shule ambayo ililalamikiwa kuwa imekarabatiwa kwa fedha za maafa ya tetemeko?
Duh! Sasa hapa nimeelewa ni kwa nini.Ndio hiyo mkuu
Kazi gani hiyo embu tujuze,kazi ya kumminya mwenye hali ya chini au IPI hiyoHatutaki heri yako ya mwaka mpya.....najua roho zinawauma sana jinsi JPM anavyopiga kazi..na baaaado
Viva Magufuli