Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,921
- 2,799
Nimemsikia rais jk akimwagiza dk bilal awe anaenda kutoa lekcha pale UDOM kwani habanwi na majukumu kivile. Hili lina athari gani kwa chuo na serikali kwa ujumla. Mojawapo ni wananchi kuamini kuwa umakamu rais ni kazi moja rahis rahis tu