Nimemsikia rais jk akimwagiza dk bilal awe anaenda kutoa lekcha pale UDOM kwani habanwi na majukumu kivile. Hili lina athari gani kwa chuo na serikali kwa ujumla. Mojawapo ni wananchi kuamini kuwa umakamu rais ni kazi moja rahis rahis tu
Hiyo ni sifa kubwa aliyopewa Dr. Mohamed Gharib Bilal.
Kwanza ana wanafunzi wa Phd ana wasimamia, jee mlitaka awaache solemba? Kwa kushauriwa aendelee kuwahudumia ni wazo jema la kuwafikiria na hao wanafunzi pia.
Pili, kwa kuendelea kufundisha kwa Nuclear physics, kutamaanisha gap haipo pale UDOM na itamfanya asiache fani yake hiyo, amabayo ni waTanzania wachache sana walio nayo kwa kiwango cha Dr. Bilal.
Tatu, ni katika kuandika historia ya nchi yetu na kuwajulisha ma-professor wengine kuwa, msiache mbachao kwa msala upitao, yaani wasiiwache fani yao kwa kuwa tu wamepata kazi ya uongozi.
Kijana hiyo pia si afadhali jamaa ana Phd na ana experience ya miaka mingi na research publication nyingi. Lakini nenda MUHAS(muhimbili) nenda kaone huko jinsi mtu ana master tu na hana publication hata moja anasimamia wanafunzi wa masters.... Hatari kweli kweli
Kwani ni nini maana ya uprofesa?Hata huyo anayesimamiwa Phd yake na bilal hana akili kweli??yaani mimi na akili zangu nisimamiwe PhD na Dr..kwani maprofesa hawapo??
Hata huyo anayesimamiwa Phd yake na bilal hana akili kweli??yaani mimi na akili zangu nisimamiwe PhD na Dr..kwani maprofesa hawapo??
Nimemsikia rais jk akimwagiza dk bilal awe anaenda kutoa lekcha pale UDOM kwani habanwi na majukumu kivile. Hili lina athari gani kwa chuo na serikali kwa ujumla. Mojawapo ni wananchi kuamini kuwa umakamu rais ni kazi moja rahis rahis tu
Hata huyo anayesimamiwa Phd yake na bilal hana akili kweli??yaani mimi na akili zangu nisimamiwe PhD na Dr..kwani maprofesa hawapo??
, msiache mbachao kwa msala upitao, yaani wasiiwache fani yao kwa kuwa tu wamepata kazi ya uongozi.
Kuna ubaya kwa JK kuwa mkweli kuwa makamu wa Rais hana kazi yoyote, bora akafundishe. Hii katiba mbovu ndio inatupa viongozi wengi na wasio na kazi. Mfumo wa umakamu wa Rais unatokea na katiba ya Amerika ambapo makamu wa Rais anakua kiongozi wa bunge la seneti. Kwa Amerika hakuna waziri mkuu, kiongozi wa chama chenye wajumbe wengi wa seneti anakuwa senate majority leader. Tanzania imeiga mfumo wa Amerika na wa Uingereza kwa wakati mmoja. mfumo wa uwaziri mkuu ni wa kiingereza na India, iSRAEL NA KWENGINE. WAZIRI MKUU ANAKUA KIONGOZI WA SERIKALI BUNGENI. Tatizo la kuchanganya mifumo ndo tunapata pumba tupu. Tujue moja tunaenda na Amerika au Uingereza. Kwa kuwa tumempa waziri mkuu dhamana ya kuwa kiongozi wa serikali bungeni, ivyo makamu wa Rais hana kazi yoyote zaidi ya kusubiri rais afe. JK nakukubali, Bilal hana kazi aende akawafundishe wajinga wa UDOM
Nadhani alikuwa anatania, kama alikuwa serious basi kamdhalilisha mwenzie kwani kaonyesha uma kwamba makamu wa rais hana kazi! Dah! OMG! huyu mtu mimi huwa sielewi kama tatizo ni speech zake au ni ulimi wake!
MKUU NIKUREKEBISHE KIDOGO, KWANZA HAKUMWAGIZA, MIMI NILIKUWEPO UKUMBINI WAKATI J.K ANAYATAMKA HAYO, ALISEMA ANAFURAHI KUONA UTAYARI WAKE KUENDELEA KUFUNDISHA UDOM, NA HILO JUKUMU SIO LA KILA SIKU KWANI ATAWASIMAMIA WANAFUNZI WA Ph.D , HIVYO HILO HALINA SHIDA KABISA COZ HAFUNDISHI UNDERGRADUATE WALA MASTERS AMBAO INGEMLAZIMU KUWA NA LECTURE KADHAA KILA WIKI.
Gurtu na Nik wana hoja za msingi. Suala si kufundisha bali mazingira ya kufundisha. Ukifanya analysis za hao ndugu wawili niliowataja utaona kuwa kwa makamu wa rais kufundisha ni suala gumu. VP ana hadhi yake na ndio maana kuna itifaki kadhaa hufuatwa akiwa katika shughuli fulani. Tukubaliane pale jk alipitiliza
Mkuu ni mswala na sio msala!!
Tuzingatie usahihi wa matumizi ya lugha adhimu ya Kiswahili!!