dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,247
hapo ndipo ninapochoka mimi, ina maana serikali haina mamlaka ya ku-access financial info za kampuni flani kiukamilifu mpaka hiyo kampuni iende dse? sasa kwa nini hayo makampuni waliyaruhusu yaanze kazi wakati hawana uhakika wa namna ya kujua hizo info!!!!???