Hili la kupiga nyimbo za dini baa sio sawa

Hili la kupiga nyimbo za dini baa sio sawa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Watu wanalewa

Wengine nusu uchi


Dj anapoga nyimbo za dini sio sawa

Imagine sehemu Kama kidimbwi zinapigwa nyimbo za dini duh!!

Halafu leo ijumaa inachomwa kitimoto sio poa
 
Yesu c alisema alikujaa Kwa ajili ya wenye dhambi mkuu 😂 ,ss wenye dhambi c ndio wanapigiwa hzo nyimbo uko Kwenye starehee Ili waokokeee 😂😂😂..

Ni burudanii..
 
Watu wanalewa

Wengine nusu uchi
It is the best thing

Dj anapoga nyimbo za dini sio sawa

Imagine sehemu Kama kidimbwi zinapigwa nyimbo za dini duh!!

Halafu leo ijumaa inachomwa kitimoto sio poa
It is the best rhing

Reminding us pf everything right
 
Watu wanalewa

Wengine nusu uchi


Dj anapoga nyimbo za dini sio sawa

Imagine sehemu Kama kidimbwi zinapigwa nyimbo za dini duh!!

Halafu leo ijumaa inachomwa kitimoto sio poa
Wewe fwata vilevi hayo mengine achana nayo watajuana na mungu wao usiwe kama watu wa makobazi bhn
 
Kupiga nyimbo za dini kwenye baa, disko au sehemu za anasa kama kidimbwi ni kukosa heshima kwa mambo ya kiroho.

👉 Nyimbo za ibada ni za kumtukuza Mungu, si za kuburudisha watu waliolewa pombe au walio nusu uchi.
Vivyo hivyo, kuchoma kitimoto Ijumaa mbele ya waumini ni kukosa utu na staha ya imani za wengine.

🟢 Hitimisho: Kila jambo lina mahali pake. Heshima kwa dini, watu, na mazingira ni msingi wa maadili ya jamii.
 
Mwenye afya njema hamuhitaji daktari, ila mgonjwa.
 
Watu wanalewa

Wengine nusu uchi


Dj anapoga nyimbo za dini sio sawa

Imagine sehemu Kama kidimbwi zinapigwa nyimbo za dini duh!!

Halafu leo ijumaa inachomwa kitimoto sio poa
Kidimbwi ndio wapi jamaa
 
Kupiga nyimbo za dini kwenye baa, disko au sehemu za anasa kama kidimbwi ni kukosa heshima kwa mambo ya kiroho.

👉 Nyimbo za ibada ni za kumtukuza Mungu, si za kuburudisha watu waliopigwa pombe au walio nusu uchi.
Vivyo hivyo, kuchoma kitimoto Ijumaa mbele ya waumini ni kukosa utu na staha ya imani za wengine.

🟢 Hitimisho: Kila jambo lina mahali pake. Heshima kwa dini, watu, na mazingira ni msingi wa maadili ya jamii.
Kwa hiyo niache kuchoma kiti moto kisa imani ya mwingine?
 
Hahaha wanachanganya ulabu na dini hao mjulishe mamaA na majeshi yake.
 
Back
Top Bottom