Asilimia aliyoipata lema huwezi kuiita landslide, kama hivyo basi hata JK alipata landslide victory.Kwanza tujiulize, Lema amekamatwa kwa kosa lipi? Hilo la kuandamana? Kesi imeundwa ndani ya kesi! Amechaguliwa kwa wingi wa kura, landslide victory, dhidi ya aliyekuwa mgombea mwenza, Dokta Batilda Salha Burian (CCM). Wakaunda kesi ya mizengwe kuhakikisha kwamba Lema anashindwa kutimiza wajibu wake kama Mbunge, kwa kumuundia kesi ya mizengwe, na kuhakikisha kwamba wanamkamata mara kwa mara, na kuwasumbua viongozi wenzake wa CHADEMA. Nimeona jinsi alivyokamatwa akiwa kwenye mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Meya wa Manispaa ya Arusha!
Polisi wanaingia kwenye mkutano, wanawakamata wajumbe, madiwani, na Mbunge wa Jimbo! Hii inaingia akilini kweli? Tumekuwa lini Police State?
Sasa kilichobaki ni Civil Disobedience. Tusiogope kwenda jela! Twende huko kwa wingi tu! Wao walidhani tutaendelea kuogopa vitisho vyao na jela zao. Sasa tuzikubali tu! Hata mie nishaenda jela, kwa ishu nyingine ya kipuuzi tu! So, hata wakinikamata, sawa tu! Ntaenda nikicheka, hata kama ntapigwa virungu!
Amandla! Awethu! A Luta Continua!
Sasa kazi imeanza rasmi! Tunaikomboa nchi yetu kutoka kwa GENGE LA MAFISADI!
./Mwana wa Haki
Wewe umeshafunga safari? au ndio unawaendesha kwa "remote control". Ungeanza kuonesha mfano, kwanini utarajie wengine wafanye unachoshindwa wewe kukifanya? una ulema wa kutokufanya hayo unayo hubiri?
WanaJF tuwe mfano angalau kwa kujiondoa kwenye hizi IDs bandia. Vinginevyo kama ni unafiki sisi tunaongoza.Kuiga ni ushujaa
Kubeza ni ujinga
Kuunga mkono ni uzalendo.
Tafsiri yoyote tofauti ni unafiki.
WanaJF tuwe mfano angalau kwa kujiondoa kwenye hizi IDs bandia. Vinginevyo kama ni unafiki sisi tunaongoza.
Kuiga ni ushujaa
Kubeza ni ujinga
Kuunga mkono ni uzalendo.
Tafsiri yoyote tofauti ni unafiki.
sema wewe. Hakuna pilitical correctness kwa wanasiasa wetu. Hii haina tofauti na fisadi kupewa uongozi.
Labda tunaweza analyse kitu conflict of interest kwanza kabla hatujang'ang'ania mahabusu kutafuta public symphathy. Hakuna Mandela wa karne hii.
Hawa ndiyo wafuasi wa kijana Lema, pamoja na Chadema kila siku sisi watumishi wa Mungu tunaomba Chadema wasikamate dola watatumaliza kama Somalia
Mbowe aondoke tu na vyatu vyake huyu ashonewe viatu vingine ikitokea kuchaguliwa,nilikuwa namwona mtu wa vurugu lakini sasa nimemwelewa na kumkubali -prisoner of concience a.k.a Steve biko wetu.Yuko kwenye level ingine kabisa na ni vigumu kwa wabongo wengi kumwelewa tuna hulka ya kuogopa utawala na vyombo vyake.You mean anaweza kuvaa viatu vya Mbowe kama mwenyekiti wa CDM Taifa?
Mkuu mimi kwetu Mbeya mjini 4th street house no.6 najua nachoongelea na pia mkuu mpya wa Mkoa kaahidi kufanya kazi na wabunge/madiwani bila kujali ni wa chama gani Sugu aitumie vizuri nafasi hii,angekuwepo Mwakipesile tungekuwa tunaongea mengine.mkuukn kuna mtu alipita hapa jf akatuambia sugu anafanya mambo ktk jimbo lake si kitoto, khs bifu na clouds zizani km lina athari sana coz sio kwamba anashinda ofc za clouds akipaka la hasha ni kwamba munaona bifu sababu akipata sehemu ya kuongea ndio anaongea lkn sio muda wote anaongelea clouds.
Utatuzi wowote kutoka nje hautatuwi kitu na ndio maana tuko hapa baada ya miaka 50 na tulipata Uhuru muda mmoja na Malasia,Korea na Singapore.Hiyo nadhani ni approach ya NTC ya Libya. Ni kujipeleka utumwani. Kwa nini tusipiganie haki zetu sisi wenyewe bila kwenda kuwasujudia wazungu? Unapokwenda kushitaki kwenye ubalozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, n.k. ni sihara ya kukiri kuwa wale ni mabwana zako na bila wao huwezi kitu. Nia ibu.
Kisheria mbunge ni kama mwananchi mwingine, unless akiwa mjengoni, akielekea au kutoka mjengoni au akiwa kwenye vibaraza na bustani za mjengoni... zaidi ya hapo anaweza kukamatwa kama sisi wengine.
Kuiga ni ushujaa
Kubeza ni ujinga
Kuunga mkono ni uzalendo.
Tafsiri yoyote tofauti ni unafiki.
Bora umeliona hilo huyu jamaa ni kichwa haswa kwenye mjadala wa Mzee Said Mohamed nilikuwa nasoma nondo zake huwezi kukubali ndiye huyu anaandika upuuzi hapa kupenda kweli upofu.
Mkuu its all peoples move! setting back and relaxing haisaidii, huoni hata katiba mpya CCM wameshaitunga? hold ya breaths mkuu, this is how it should go!aisee watu tunatofautiana kuelewa na mtazamo
mimi naamini 'confrontational politics' hazitasaidia hii nchi
sana sana zitaleta 'machafuko'
na watakaoumia ni wasio na hatia...mke wa lema anaweza kupanda ndege na watoto haooo nairobi au kampala
CCM ni kama 'machizi wenye silaha'
unahitaji kutumia 'akili' ku deal nao
na sio kuanzisha 'mapambano'
siasa hizi huwa hazikawii kuchuja na wale unao waongoza kukuchoka, kitendo alichofanya lema cha kugomea dhamana ni mchezo wa kitoto wa kisiasa ambao waliupanga yeye na mwenyekiti wake, haingii akilini hata siku moja, Lema agome halafu haijapita hata mwezi mmoja mwenyekiti anaenda kumsihi ati atoke ili aweze kuhudhuria vikao vya bunge, JE? kwani hakuwa anajua kuwa tarehe ya kuanza kwa bunge? dhamira halisi hakuwa nayo ndiyo maana hata chakula chake kilitoka nyumbani kwake! hatukusikia amegoma kula! ipo siku wale wanao mshabikia watabaki kulia na kushika vichwa, wakumbuke aliyekuwa MB Dkt Walid kabouru amewaacha vijana wengi wa kigoma mjini wakiwa viwete kutokana na ushabiki kama huu, Matokeo yake yupo CCM leo anakula kuku, Vijana tusitumike kama ngazi ya watu kufikia malengo yao, tuwe makini.
siasa hizi huwa hazikawii kuchuja na wale unao waongoza kukuchoka, kitendo alichofanya lema cha kugomea dhamana ni mchezo wa kitoto wa kisiasa ambao waliupanga yeye na mwenyekiti wake, haingii akilini hata siku moja, Lema agome halafu haijapita hata mwezi mmoja mwenyekiti anaenda kumsihi ati atoke ili aweze kuhudhuria vikao vya bunge, JE? kwani hakuwa anajua kuwa tarehe ya kuanza kwa bunge? dhamira halisi hakuwa nayo ndiyo maana hata chakula chake kilitoka nyumbani kwake! hatukusikia amegoma kula! ipo siku wale wanao mshabikia watabaki kulia na kushika vichwa, wakumbuke aliyekuwa MB Dkt Walid kabouru amewaacha vijana wengi wa kigoma mjini wakiwa viwete kutokana na ushabiki kama huu, Matokeo yake yupo CCM leo anakula kuku, Vijana tusitumike kama ngazi ya watu kufikia malengo yao, tuwe makini.