mpiganiahaki
Senior Member
- Apr 28, 2011
- 170
- 67
unatiiiiwa wewe, Lema kesha onyesha kuwa haogopi hayo magereza ambayo nyie magamba mna mtisha nayo, sasa we m-s-e-n g e e mnachukia baada ya kugundua unajaza maji kwenye gunia!siasa hizi huwa hazikawii kuchuja na wale unao waongoza kukuchoka, kitendo alichofanya lema cha kugomea dhamana ni mchezo wa kitoto wa kisiasa ambao waliupanga yeye na mwenyekiti wake, haingii akilini hata siku moja, Lema agome halafu haijapita hata mwezi mmoja mwenyekiti anaenda kumsihi ati atoke ili aweze kuhudhuria vikao vya bunge, JE? kwani hakuwa anajua kuwa tarehe ya kuanza kwa bunge? dhamira halisi hakuwa nayo ndiyo maana hata chakula chake kilitoka nyumbani kwake! hatukusikia amegoma kula! ipo siku wale wanao mshabikia watabaki kulia na kushika vichwa, wakumbuke aliyekuwa MB Dkt Walid kabouru amewaacha vijana wengi wa kigoma mjini wakiwa viwete kutokana na ushabiki kama huu, Matokeo yake yupo CCM leo anakula kuku, Vijana tusitumike kama ngazi ya watu kufikia malengo yao, tuwe makini.
Badoooo!