snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
AHSANTE KWA KUNIELEWA MWAYA!Ila nimefikilia nimeona hakuna haja ya msamaha maana mtu kukupenda au kuto kukupenda ni chaguo la moyo wake sio makosa kwahiyo huyo mama hampendi mwanae
Hamna haja ya kuumia huwezi kulazimisha mtu akupende
Chakufanya ni kupotezea na kuendelea na maisha ya kawaida
uliniuliza swali tricky kidogo,nikajiukta nimelijibu kwa maelezo!
lakini na mi nilijiuliza same question!
AKIMSAMEHE MAMA ANAYETAMANI AFE,ITAONGEZA AU KUPUNGUZA LOLOTE KWENYE MAISHA YA HUYO MAMA ,NIKAJIPA JIBU HAPANA!
so KWANINI AJIPE KAZI KUBWA YA KUSAMEHE KITU KAMA HICHO ,WHILE IT WONT EVEN WORTH A THING!
akhu mwaya!
moyo wangu sultani mie!
naweza sawa
siwezi akhaaaa!