Hili jambo limenipa utata kuhusu bima ya NHIF.

baiser

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
1,456
2,181
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF

Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini

Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V cannula haipo kwenye Bima hivyo inabidi tulipie sh.3000 ili daktari aitumie

Ninachojiuliza vitu kama I.V cannula ambavyo ni zana wezeshi kufanikisha zoezi kwanini tunatozwa sisi ? Ni sawa na mgonjwa akiwa inabidi awekewe drip arafu unamwambia ule mrija ( giving set ) haupo kwenye bima inabidi alipie

Haya ni maajabu kwa kweli naomba watu wa Bima wajitafakari sisi tunalipa pesa zetu kuchangia tupate huduma bila stress tukipata magonjwa ninapo kwenda hospitali najua tayari nina kibunda changu ambacho kipo tu sio tuanze kutonzana I.V cannula kwa ajili ya kuwezesha kumpatia dawa au drip mgonjwa

Naomba kuwasilisha
 
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF

Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini

Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V cannula haipo kwenye Bima hivyo inabidi tulipie sh.3000 ili daktari aitumie

Ninachojiuliza vitu kama I.V cannula ambavyo ni zana wezeshi kufanikisha zoezi kwanini tunatozwa sisi ? Ni sawa na mgonjwa akiwa inabidi awekewe drip arafu unamwambia ule mrija ( giving set ) haupo kwenye bima inabidi alipie

Haya ni maajabu kwa kweli naomba watu wa Bima wajitafakari sisi tunalipa pesa zetu kuchangia tupate huduma bila stress tukipata magonjwa ninapo kwenda hospitali najua tayari nina kibunda changu ambacho kipo tu sio tuanze kutonzana I.V cannula kwa ajili ya kuwezesha kumpatia dawa au drip mgonjwa

Naomba kuwasilisha
Inasikitisha sana
 
Watoa huduma wameamua either kutembea na Biti, ama wanasikiliza maneno ya kwenye mitandao kuhusu kifurushi kipya.

Ni kweli kabisa NHIF wamezingua kwenye kitita hiki kipya kwa kuacha bidhaa nyingi muhimu, kushusha gharama ya bidhaa na huduma ama kuunganisha bidhaa na huduma (mfano gharama za kujifungua zitajumuisha hadi dawa na vifaa tiba anavyotumia mama), lakini baadhi ya vitu vinavyotajwa kutokua sehemu ya kitita hicho vipo.

Mfano mzuri ni hiyo I.V Cannular aliyotaja mtoa mada, inapatikana kwenye kitita kipya kwa code Namba 12038, sasa hao waliokuambia haipo wakueleze ni wapi walipoangalia wakaikosa.
 
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF

Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini

Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V cannula haipo kwenye Bima hivyo inabidi tulipie sh.3000 ili daktari aitumie

Ninachojiuliza vitu kama I.V cannula ambavyo ni zana wezeshi kufanikisha zoezi kwanini tunatozwa sisi ? Ni sawa na mgonjwa akiwa inabidi awekewe drip arafu unamwambia ule mrija ( giving set ) haupo kwenye bima inabidi alipie

Haya ni maajabu kwa kweli naomba watu wa Bima wajitafakari sisi tunalipa pesa zetu kuchangia tupate huduma bila stress tukipata magonjwa ninapo kwenda hospitali najua tayari nina kibunda changu ambacho kipo tu sio tuanze kutonzana I.V cannula kwa ajili ya kuwezesha kumpatia dawa au drip mgonjwa

Naomba kuwasilisha
Kuwa mkweli

Hizi ni move za vitita ambavyo vinatatuliwa
 
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF

Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini

Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V cannula haipo kwenye Bima hivyo inabidi tulipie sh.3000 ili daktari aitumie

Ninachojiuliza vitu kama I.V cannula ambavyo ni zana wezeshi kufanikisha zoezi kwanini tunatozwa sisi ? Ni sawa na mgonjwa akiwa inabidi awekewe drip arafu unamwambia ule mrija ( giving set ) haupo kwenye bima inabidi alipie

Haya ni maajabu kwa kweli naomba watu wa Bima wajitafakari sisi tunalipa pesa zetu kuchangia tupate huduma bila stress tukipata magonjwa ninapo kwenda hospitali najua tayari nina kibunda changu ambacho kipo tu sio tuanze kutonzana I.V cannula kwa ajili ya kuwezesha kumpatia dawa au drip mgonjwa

Naomba kuwasilisha
Hela wamekopeshana mfuko hauna pesa
Dawa ni kupiga kelele vifurushi virud kawaida
Huu ni uhuni
Refer report ya CAG 2023

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF

Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini

Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V cannula haipo kwenye Bima hivyo inabidi tulipie sh.3000 ili daktari aitumie

Ninachojiuliza vitu kama I.V cannula ambavyo ni zana wezeshi kufanikisha zoezi kwanini tunatozwa sisi ? Ni sawa na mgonjwa akiwa inabidi awekewe drip arafu unamwambia ule mrija ( giving set ) haupo kwenye bima inabidi alipie

Haya ni maajabu kwa kweli naomba watu wa Bima wajitafakari sisi tunalipa pesa zetu kuchangia tupate huduma bila stress tukipata magonjwa ninapo kwenda hospitali najua tayari nina kibunda changu ambacho kipo tu sio tuanze kutonzana I.V cannula kwa ajili ya kuwezesha kumpatia dawa au drip mgonjwa

Naomba kuwasilisha
Pole sana

Wenyewe wapon busy wanaimba çcm mbele kwa mbele
 
Hivi kumkatia mtoto bima ya afya kupitia mashuleni utaratibu ukoje ? Maana mashuleni inaonyesha hawajafikiwa na NHIF kwa hiyo inakuwa ngumu kwetu wazazi tunapataje bima za watoto?
 
Hivi karibuni kuna baadhi ya dawa na baadhi ya vifaa vya kutolea huduma vimeondolewa kwenye bima ya NHIF

Sasa leo mtoto alipelekwa hospitali katika kuangaliwa ilibidi apewe dawa ya kushusha joto mwilini

Dawa hiyo inatolewa kwa njia ya mishipa ya damu ( I.V) cha kushangaza tumeambiwa I.V cannula haipo kwenye Bima hivyo inabidi tulipie sh.3000 ili daktari aitumie

Ninachojiuliza vitu kama I.V cannula ambavyo ni zana wezeshi kufanikisha zoezi kwanini tunatozwa sisi ? Ni sawa na mgonjwa akiwa inabidi awekewe drip arafu unamwambia ule mrija ( giving set ) haupo kwenye bima inabidi alipie

Haya ni maajabu kwa kweli naomba watu wa Bima wajitafakari sisi tunalipa pesa zetu kuchangia tupate huduma bila stress tukipata magonjwa ninapo kwenda hospitali najua tayari nina kibunda changu ambacho kipo tu sio tuanze kutonzana I.V cannula kwa ajili ya kuwezesha kumpatia dawa au drip mgonjwa

Naomba kuwasilisha
Watoa huduma wanafanya uhuni kuwapiga hela. Double costing sababu NHIF bei ya hivyo vitu wameinclude kwenye procedure. Haiwezekani Bima iweze kugharamia huduma kama dialysis hlf ishindwe kukulipia cannula
 
Hiyo bima ni sawa na unyang'anyi,ukabaji, upigaji nondo, wizi, ujambazi wa lazima kwa Raia wa Taifa hili la Tanzania
 
Back
Top Bottom