Ahahahaha, niliwahi kupita kwenye daraja la hivyo maeneo ya Mgeta vijijini, chini maji ni ya baridi sana huwezi kuyagusa so ni lazima upitie darajani tu sasa maana hakuna namna!
Ahahahaha, niliwahi kupita kwenye daraja la hivyo maeneo ya Mgeta vijijini, chini maji ni ya baridi sana huwezi kuyagusa so ni lazima upitie darajani tu sasa maana hakuna namna!
Kuna mlevi kabla ya kwenda kwake anavuka daraja kama hilo basi akilewa anayumba vibaya sana ila akifika hapo darajani anasimama kwanza dakika kama mbili hivi halafu anavuka vizuri ila akimaliza tu daraja anaanza kuyumba tena!
Kuna mlevi kabla ya kwenda kwake anavuka daraja kama hilo basi akilewa anayumba vibaya sana ila akifika hapo darajani anasimama kwanza dakika kama mbili hivi halafu anavuka vizuri ila akimaliza tu daraja anaanza kuyumba tena!