Hili daraja la Dumila hili!

Hili daraja la Dumila hili!

Munkari kumbe ni Mjumbe wa Bunge la Rasimu ya Katiba haya Mama (Dada)
Habati uliyoileta kweli sasa inaaza kunitisha maana Mji wetu wa Dodoma umefunukwa na mawingu ya mvua hasa na maji yote yanakimbilia Swaswa halafu Hombolo ndipo yanapokutana na ya Milima ua Mpwawa

Sasa waliopita wanasema wamezungukia Kilosa kweli daraja limesombwa na km halijasombwa basi asubuhi haifiki labda Magufuli alilikomelea
Imenilazimu kupita kilosa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda wa masaa mawili, serikali yetu hii sijui inatupeleka wapi sasa.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ndiyo mipango ya alinacha ya CCM. Badala ya kwanza kujenga daraja ambalo kwa vyovyote ni gharama ndogo sasa wanasema watajenga Bwawa; haihitajiki PhD kufahamu mchakato wa kujenga Bwawa si wa kutekelezeka kwa muda mfupi, say mwaka mmoja. Wana akili kweli hawa?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ni kweli hawajawahi kuwa na akili lakini Daraja sio suluhisho la kudumu ikitokea bahati mbaya wakatekeleza hii ahadi ya kujenga bwawa itakuwa ndo suluhisho la kudumu hata wakijenga daraja kubwa zaidi bila kuyadhibiti haya maji nalo linaweza sombwa na Maji
 
me nilipita jana na wale wachina walishaondoka bali niliona ka pick up eti ndo kanasomba kifusi! aisee dr Magufuli hivi tunataniana? barabara yenyewe ni single lane! hebu dr pombe wacha masihara rekebisha lile daraja!
 
Wewe unanyonywa nini? unajuwa maana ya mafuriko wewe?

Hivi we ni mwanamke kweli? Kama ni kweli basi hormones za kiume ni nyingi kwako kuliko za kike. Ktk hali ya kawaida majibu km haya hayategemewi kutoka kwa mwanamke!
 
Umemjibu vizuri sana.Kwa mfano hali ilivyokuwa leo pale Doma hata kama kungekuwa na Daraja zuri kiasi gani pasingepitika kwani maji yalijaa barabarani pia.Tatizo kuna watu wanapinga kila kitu hata kama ni possible solution
 
Hivi we ni mwanamke kweli? Kama ni kweli basi hormones za kiume ni nyingi kwako kuliko za kike. Ktk hali ya kawaida majibu km haya hayategemewi kutoka kwa mwanamke!

DUH1 wewe hunyonyi?
 
Imenilazimu kupita kilosa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda wa masaa mawili, serikali yetu hii sijui inatupeleka wapi sasa.

aisee pole sana mkuu!! Hali haikuwa shwari cjui kunaendeleaje huko now !!
 
.. serikali ijipange kweli, kwani mabadiliko ya tabia nchi na hasa uharibifu mkubwa wa mazingira na maeneo mengi ya misitu kupotea kumesababisha mito mingi kubadili mwelekeo. Madaraja na miundombindu yote inatakiwa kufanyiwa tathmini ya kina.
 
tunasubiri lianguke ili twende tukakeshe hapo, tukisimamia ujenzi.
 
Huyu dada faiza kila kitu siasa yanaongelewa madaraja mabovu yasiyostahimili mvua yeye ameshamuingiza mbowe kwenye mjadala...mimi ndio maana huwa sipendi siasa ukizama sana inakuathiri kisaikolojia na kamwe hutaweza kuuona ukweli
 
DSC_0801.JPG
 
Kama wewe huzioni fursa zilizopo, kaa ulale.

Eti magari, ulikatazwa kutumia frsa nawe ukanunuwa la kwako? hata hausigeli wangu ana gari.

Yaelekea FaizaFoxy ni mmoja wa mafisadi na wahujumu wakubwa wa uchumi na ustawi wa nchi hii. Bado sijaelewa sababu ya kuingilia kila hoja inayokosoa utendaji mbovu hata unapokuwa wazi kama ilivyo katika mtungo huu.
Kujitapa eti hata house girl wake ana gari kunadokeza ni mnufaikaji wa mfumo wa kinyang'au ulioko sasa wa hujuma, wizi na uhaini dhidi ya taifa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yaelekea FaizaFoxy ni mmoja wa mafisadi na wahujumu wakubwa wa uchumi na ustawi wa nchi hii. Bado sijaelewa sababu ya kuingilia kila hoja inayokosoa utendaji mbovu hata unapokuwa wazi kama ilivyo katika mtungo huu.
Kujitapa eti hata house girl wake ana gari kunadokeza ni mnufaikaji wa mfumo wa kinyang'au ulioko sasa wa hujuma, wizi na uhaini dhidi ya taifa.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Yule aliyewauzia mafuso mtumba kwa bei ya zaidi ya mapya unamuitaje? au yule anaegeuza chama cha siasa kuwa saccos unamuitaje?

Utakuwaje mpinzani kama hujapinga kila kitu, sioni ajabu ya wewe kumpinga FaizaFoxy. Endelea tu na kuwa msukule, macho unayo lakini hayaoni, masikio unayo lakini hayasikii.
 
Back
Top Bottom