Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 1,003
Kama wewe huzioni fursa zilizopo, kaa ulale.
Eti magari, ulikatazwa kutumia frsa nawe ukanunuwa la kwako? hata hausigeli wangu ana gari.
Yaani siku yakifanyika mashindano ya watu wapumbavu na wapuuzi hapa duniani lazima uchukue kombe.Kwa hivyo kuiba pesa za umma na kununua magari mazuri ndo fursa hiyo?