Hili daraja la Dumila hili!

Hili daraja la Dumila hili!

Nikweli kipande hicho ni sehemu korofi na kwakweli ni mtihani sana kwa hata serikali yenyewe kwani mkondo wa maji ni mkubwa sana

Unamaana hamna jinsi ya kupadhibiti? Please come on
 
Unamaana hamna jinsi ya kupadhibiti? Please come on

Sabay, pale ni kuwa pamepanuka sehemu zote na kuna hatari kama mvua itaendelea kunyesha basi daraja linaweza kuzolewa kabisa kwani maji yanatoka maeneo ya kilosa
 
Kuna watu humu hawana akili kabisa hata mafuriko wanataka kuilaumu serikali, nendeni basi mkayazuwie kama serikali imeshindwa. Kuna mtu aliwazuia kuyazuwia?

Hizo ni akili za gongo kama za Slaa.

Kama ni kukosa akili wewe ni mmoja wao na ni wa kwanza kati yao

Issue hapa ni daraja linaloonekana kusombwa na maji na wadau wanahitaji serikali ikalirekebishe na sio wadau kutaka serikali izuie mafuriko au mvua

Mafuriko yanaweza kuja na yasilete madhara kama vitu kama madaraja na miundombinu mingine ikiwa imara

Hata hilo tu umeshindwa kulielewa?

Kuna mambo yapo wazi na hayahitaji ushabiki wa kisiasa na kuanza kuwataja viongozi wa vyama tena kwa kutokuwaheshimu

Unadhani kumheshimu mtu ni hadi awe na itikadi kama yako?

Kwa umri ulionao ulitakiwa uwe mfano kwa vijana wadogo namna ya kuwaheshimu watu hata kama hamkubaliani kwenye siasa na sio kuwatolea maneno ya kashfa kama hayo

Shame on you!
 
Sabay, pale ni kuwa pamepanuka sehemu zote na kuna hatari kama mvua itaendelea kunyesha basi daraja linaweza kuzolewa kabisa kwani maji yanatoka maeneo ya kilosa

Mkuu Waziri Maghembe last week ametoa solution ya hii kitu na kama kweli itaifanyia kazi hutasikia tena hayo mambo hapo Darajani Plan ni kujenga bwawa somewhere ili kuweza kuyacontain hayo maji na kuyatumia kwa shughuli nyingine badala ya kuyaacha tu yatiririke yanavyojitakia wana plan kujenga bwawa kwenye huo mto kukusanya maji wakati wa mvua kuzuia mafuriko na kuyatumia kwa matumizi mengineyo
 
Mkuu Waziri Maghembe last week ametoa solution ya hii kitu na kama kweli itaifanyia kazi hutasikia tena hayo mambo hapo Darajani Plan ni kujenga bwawa somewhere ili kuweza kuyacontain hayo maji na kuyatumia kwa shughuli nyingine badala ya kuyaacha tu yatiririke yanavyojitakia wana plan kujenga bwawa kwenye huo mto kukusanya maji wakati wa mvua kuzuia mafuriko na kuyatumia kwa matumizi mengineyo

Ni plan mzuri sana na inawezekani kwani hayo maji huwa yanatokea kule juu mlimani.Kama waziri atalisimamia hilo basi hilo tatizo litabaki historia
 
sie tushapita na color star kuelekea mbeya, haikuwa mvua kubwa kivile, nimehoji kwa wenyeji wamedai maji toka milimani, poleni waathirika hii ndy tz.
 
Wewe unanyonywa nini? unajuwa maana ya mafuriko wewe?

Hivi Faizafoxy ni lazima uitetee serikali hii katika kila post yako? Pamoja na kwamba sijalielewa swali lako; naamini si zuri na halifai kuulizwa na mtu kama wewe. Huyu naye akikujibu kwa kejeli utasema umetukanwa? Behave like a great thinker; changia hoja kwa reason na si kukurupuka tu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu Waziri Maghembe last week ametoa solution ya hii kitu na kama kweli itaifanyia kazi hutasikia tena hayo mambo hapo Darajani Plan ni kujenga bwawa somewhere ili kuweza kuyacontain hayo maji na kuyatumia kwa shughuli nyingine badala ya kuyaacha tu yatiririke yanavyojitakia wana plan kujenga bwawa kwenye huo mto kukusanya maji wakati wa mvua kuzuia mafuriko na kuyatumia kwa matumizi mengineyo

Hiyo ndiyo mipango ya alinacha ya CCM. Badala ya kwanza kujenga daraja ambalo kwa vyovyote ni gharama ndogo sasa wanasema watajenga Bwawa; haihitajiki PhD kufahamu mchakato wa kujenga Bwawa si wa kutekelezeka kwa muda mfupi, say mwaka mmoja. Wana akili kweli hawa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naona watu wamegeuza jukwaa la siasa !!! Aisee!!
 
Ni plan mzuri sana na inawezekani kwani hayo maji huwa yanatokea kule juu mlimani.Kama waziri atalisimamia hilo basi hilo tatizo litabaki historia

hata miye nimeipenda ,then kama kuna shughuli zozote zinazoendelea kando ya mto ni vema zikasitishwa kuepusha mto kuwa mkubwa zaidi na maji kusambaa!
 
Mtumeeeeeeeeeeeeeeee
huyu dikembe atakuwa mwanamke mpaka anyonywe?
hili Daraja litatuletea ma mimba maana lazima Magufuli azalishe lingine la tatu maana huko Dodoma mvua ni kiboko iliyonyesha siku 3 mfululizo Munkari naombea uwe na unakuja Dodoma na Daraja livunjike kabisa ili kurudi huko USAHAU
msalimie ulie kaa siti moja (bench) na siti # kufuatana ) naye maana wote ni JF Member

ha ha ha mkuu wangu Ukwaju kwanza jina lako nimelipenda alaf hivi ni ukwaju upi ni ule wa juice ama wa mchongoma?,back to th topic-wewe hunitakii mema yani unaniombea nidumbukie darajani kweli?ujue mungu alisema tupendane ohoo! kwataarifa yako nipo idodomya haya karibu mizabibu!!
 
Last edited by a moderator:
sasa kama maji yanapita juu tuweke daraja juu ya mlima? kwanza sie tunapita juu subirini mvua ikatike maji yapungue na nyie ndio mpite. au mnataka kivuko?
 
Inabidi serikali iangalie hii sehemu ya muhimu kwa jicho pana zaidi,hii ni pamoja na kuboresha hili daraja mana nimepita hapo muda si mrefu mto umejaa balaa maji yameanza kupanda hadi darajani,na mvua bado zinaendelea kunyesha.ikiendelea hivi kwa siku mfululizo laweza kusombwa kwa mara nyingine.So nadhani serikali ingejipanga kwa hili.





Imenilazimu kupita kilosa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda wa masaa mawili, serikali yetu hii sijui inatupeleka wapi sasa.
 
Back
Top Bottom