yaani kila nikiamka siwaoni african dreams naona makamasi tu.kila kanakoingia katoto ka mkulima,bwana lusinde hilo sio eneo la kutafutia umaarufu,wenzio wenyeviherehere kama wewe wamekuwa toto vjiwe stick........
Inakatisha sana tamaa. Usoni ni watu lakini rohoni wameshika kutu, tena kutu ya kumomonyoka kabisa. Siwaelewi, hawaungani katika mambo yanayotuunganisha. Chadema walipokataa kuungana na kila mtu sikuelewa ila sasa naelewa, kumbe hakuna chema kitakachotoka kati ya watu hawa. Roho zao zimekufa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.