Hili banda lipo wapi hapo Dares-salaam?

Hili banda lipo wapi hapo Dares-salaam?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
DSCN4799.jpg
 
Mkuu Ndibalema Nataka kufanya maandamano ya hilo neno la kitomoto nikalivunje vunje ndio ninauliza lipo wapi hili banda la kitomoto?

Ni kitimoto na sio kitomoto mkuu Mzizi mkavu, ukirudi bongo unitafute nikufundishe matumizi yake bila hofu ya Taenia Solium
 
Last edited by a moderator:
Kigogo sambusa hiyo a.k.a kwa maguruwe, hapo kimedoda baada ya Bomoabomoa kupisha ujenzi, sasa hivi huyo mwenye banda pia ana Baa Nduliwa na anakalia Kigogo
 
Hii ni juu yenu wala 'kitimoto'sitaki kujua,ila kwa kuwasaidia hapo ukutani mwa hilo banda naona kama kuna namba za simu..
 
Kigogo sambusa hiyo a.k.a kwa maguruwe, hapo kimedoda baada ya Bomoabomoa kupisha ujenzi, sasa hivi huyo mwenye banda pia ana Baa Nduliwa na anakalia Kigogo

Hapo pekundu!!!!!:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
 
hA HA hili liko sinza kwa MWAIBULA MKUU........
 
Kuna story zinadai banda likiwa chafu kama hilo mdudu a.k.a noah ndo inakua tamu balaa ni kweli wadau?
 
Back
Top Bottom