Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Mambo mengine hayana maelezo. Ni ungane na aliyeleta uzi wa Roho Mtakatifu kuwafungua watu macho waone. EL alirazikamika kujiuzuru kwa sababu zipi? Mara hii hata hamukumbuki tena? Inakuwaje tanesco wapandishe gharama za umeme kama si kumlipa richmond ya EL?