Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani

@arusha, mama mchagga,baba mngoni.


my boyfriend /Ole MANIANIA yupo safarini (ubelgiji) na awali aliniambia atakuja likizo baada miezi mitatu baadae akanjulisha hawezi kuja Tz kutokana na ukata may be baada ya miezi sita

imepita miezi mitano mdogo wake wa KIKE (baba mmoja mama tofauti) ni rafiki yangu wa siku nyingi karudi likizo.Ikawa tumetoka wote ilikuwa mwezi wa kumi jumamosi kuhudhuria harusi flani, tulichelewa kurudi home ikabidi alale kwangu.

Tukaoga fasta akachukua manukato anayotumia kaka yake akajipulizia kuingia kitandani kutafuta usingizi akaniuliza KWA NAMNA GANI NAVYOMMISS KAKA YAKE, akaniambia anatamani kuwa Ole MANIANIA, mara akaniwekea mkono kwenye ziwa na kuanza kuli........NIKAPANDWA HASIRA ila akanisihi ni try to imitate she is ole MANIANIA, hilo lilikuwa kosa kubwa manake as nilipobeep to imitate nikajikuta nimemvutia mdomoni denda denda,nyonyana ulimi, mpaka tukatimiza vifungu vyote


My take:Hiki kisa nimekuvumila ila ni bora nikiseme ili kinitoke kichwani kwani kinanitesa
note:Mdogo wake wa kike na sii wa kiume


You are a lesbo...you just didn't knew! Now that you know...either pretend you are not and be unhappy..or tii kiu yako!
 
@arusha, mama mchagga,baba mngoni.


my boyfriend /Ole MANIANIA yupo safarini (ubelgiji) na awali aliniambia atakuja likizo baada miezi mitatu baadae akanjulisha hawezi kuja Tz kutokana na ukata may be baada ya miezi sita

imepita miezi mitano mdogo wake wa KIKE (baba mmoja mama tofauti) ni rafiki yangu wa siku nyingi karudi likizo.Ikawa tumetoka wote ilikuwa mwezi wa kumi jumamosi kuhudhuria harusi flani, tulichelewa kurudi home ikabidi alale kwangu.

Tukaoga fasta akachukua manukato anayotumia kaka yake akajipulizia kuingia kitandani kutafuta usingizi akaniuliza KWA NAMNA GANI NAVYOMMISS KAKA YAKE, akaniambia anatamani kuwa Ole MANIANIA, mara akaniwekea mkono kwenye ziwa na kuanza kuli........NIKAPANDWA HASIRA ila akanisihi ni try to imitate she is ole MANIANIA, hilo lilikuwa kosa kubwa manake as nilipobeep to imitate nikajikuta nimemvutia mdomoni denda denda,nyonyana ulimi, mpaka tukatimiza vifungu vyote


My take:Hiki kisa nimekuvumila ila ni bora nikiseme ili kinitoke kichwani kwani kinanitesa
note:Mdogo wake wa kike na sii wa kiume


aah

kumbe kumbe OLE MANIANIA aliacha kuimba kwaya eeh? na yule binti mzuri msomi wa kimasai ulimshinda? au ndo ulitimiza ile azma ya kumwangamiza kabisa ? na sasa ndo u dada poa unakukaribia . mmh Martina! Martina!
 
tunaishi na wanamme ndani ya nyumba zetu wakiwa kaka au binamu lakini hatuwatamani na wala hawatustui.

Nyumbani tulala kitanda kimoja ndugu na wakti mwingine wala hatukumbuki kulala mzungu wa nne na wala hamna anayehisi chochote

Partly nakubaliana na kwamba inaanza kichwani ila kwenye shule za boarding ipo sana tena sio single sex peke yake hata shule mchanganyiko ipo
ila watu wengi huacha/hupunguza wanapoondoka mashuleni
Sio kweli, kuna circumstances kwa maisha ya kiswahili mnajikuta mme-share kitanda (hata kwa wanaume inatoke) but hata kugusanisha miili kitandani it is disgusting! mzungu wa nne ni muhimu so u dont breathe in excreted air ya mwenzio. Usagaji unaanzia kwenye mawazo kwanza.
 
You are a lesbo...you just didn't knew! Now that you know...either pretend you are not and be unhappy..or tii kiu yako!
ahaaa dokta ni ngumu kuacha ila hataki na anajuta.sasa ushauri gani huo unampa?
 
Siyo wewe uliyesema boyfriend wako ni jambazi mwenye mshiko?Ukawa unataka ushauri?
Nisamehe kama nimekosea.

ile ilimtokea rafiki yake wa karibu siyo yeye.
ila yeye( martyna) zamani baba yake alikuwa mchaga mana yake alikuwa mngoni, na alikuwa anaishi Geneva of africa
siku hizi yeye(martyna) baba yake amekuwa mngoni na mama yake amekuwa mchaga
 
ahaaa dokta ni ngumu kuacha ila hataki na anajuta.sasa ushauri gani huo unampa?

Smile ushauri ndio huo...kuna malesbo na magay wengi tu wanaishi maisha yao yote wakishindana na hisia zao za kimwili kwa sababu wanaangalia jamii inayowazunguka in maadili gani na itawachukuliaje. sasa Marytina aamue kuishi kinafiki na kudeny hisia zake..au atii hisia zake!
 
my dear, na hii niliiona boarding kwa sana, na mabifu ya kunyang'anyana kabisa watu wanagombea basha! lakini trust me, huwa wana-pretend kama alivyosema riwa hapo juu. kuna mmoja tulikuwa same class, alikuja kuolewa marekani, after a year wameachana. we ar still friends, u cant tell kama ana kitabia hicho na hamuongelei mumewe hata siku moja. recently ameanza kuhang na mdada waliekuwa wanasagana tukiwa o-level, na huyo mdada ni single mother. tuna urafiki wa kistaarabu we never pry on each other's business, lakini for them going camping together ni kawaida. nikipata invitation i politely decline, maisha yanaendelea
tunaishi na wanamme ndani ya nyumba zetu wakiwa kaka au binamu lakini hatuwatamani na wala hawatustui.

Nyumbani tulala kitanda kimoja ndugu na wakti mwingine wala hatukumbuki kulala mzungu wa nne na wala hamna anayehisi chochote

Partly nakubaliana na kwamba inaanza kichwani ila kwenye shule za boarding ipo sana tena sio single sex peke yake hata shule mchanganyiko ipo
ila watu wengi huacha/hupunguza wanapoondoka mashuleni
 
Back
Top Bottom