Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
ilishahalalishwa mbona? sema stage nyingi huwa wanaruka zile huwa zinaenda hatua muhimu tu with the help of test tube,ila kweli
maana boarding za wasichana
karibu itahalalishwa
ilishahalalishwa mbona? sema stage nyingi huwa wanaruka zile huwa zinaenda hatua muhimu tu with the help of test tube,ila kweli
maana boarding za wasichana
karibu itahalalishwa
kweli boss mimi ni shaidi no moja mimi namshangaa martina sema ni vile alifanya na mtu wa karibu ndo maana inamtesa
sio this days the boss wangu,tokea zamani ipo saaana kwenye mabweni ya wasichanamueleweshe Gaijinh
hajui kuwa haya mambo ni too common these days...
@arusha, mama mchagga,baba mngoni.
my boyfriend /Ole MANIANIA yupo safarini (ubelgiji) na awali aliniambia atakuja likizo baada miezi mitatu baadae akanjulisha hawezi kuja Tz kutokana na ukata may be baada ya miezi sita
imepita miezi mitano mdogo wake wa KIKE (baba mmoja mama tofauti) ni rafiki yangu wa siku nyingi karudi likizo.Ikawa tumetoka wote ilikuwa mwezi wa kumi jumamosi kuhudhuria harusi flani, tulichelewa kurudi home ikabidi alale kwangu.
Tukaoga fasta akachukua manukato anayotumia kaka yake akajipulizia kuingia kitandani kutafuta usingizi akaniuliza KWA NAMNA GANI NAVYOMMISS KAKA YAKE, akaniambia anatamani kuwa Ole MANIANIA, mara akaniwekea mkono kwenye ziwa na kuanza kuli........NIKAPANDWA HASIRA ila akanisihi ni try to imitate she is ole MANIANIA, hilo lilikuwa kosa kubwa manake as nilipobeep to imitate nikajikuta nimemvutia mdomoni denda denda,nyonyana ulimi, mpaka tukatimiza vifungu vyote
My take:Hiki kisa nimekuvumila ila ni bora nikiseme ili kinitoke kichwani kwani kinanitesa
note:Mdogo wake wa kike na sii wa kiume
@arusha, mama mchagga,baba mngoni.
my boyfriend /Ole MANIANIA yupo safarini (ubelgiji) na awali aliniambia atakuja likizo baada miezi mitatu baadae akanjulisha hawezi kuja Tz kutokana na ukata may be baada ya miezi sita
imepita miezi mitano mdogo wake wa KIKE (baba mmoja mama tofauti) ni rafiki yangu wa siku nyingi karudi likizo.Ikawa tumetoka wote ilikuwa mwezi wa kumi jumamosi kuhudhuria harusi flani, tulichelewa kurudi home ikabidi alale kwangu.
Tukaoga fasta akachukua manukato anayotumia kaka yake akajipulizia kuingia kitandani kutafuta usingizi akaniuliza KWA NAMNA GANI NAVYOMMISS KAKA YAKE, akaniambia anatamani kuwa Ole MANIANIA, mara akaniwekea mkono kwenye ziwa na kuanza kuli........NIKAPANDWA HASIRA ila akanisihi ni try to imitate she is ole MANIANIA, hilo lilikuwa kosa kubwa manake as nilipobeep to imitate nikajikuta nimemvutia mdomoni denda denda,nyonyana ulimi, mpaka tukatimiza vifungu vyote
My take:Hiki kisa nimekuvumila ila ni bora nikiseme ili kinitoke kichwani kwani kinanitesa
note:Mdogo wake wa kike na sii wa kiume
Sio kweli, kuna circumstances kwa maisha ya kiswahili mnajikuta mme-share kitanda (hata kwa wanaume inatoke) but hata kugusanisha miili kitandani it is disgusting! mzungu wa nne ni muhimu so u dont breathe in excreted air ya mwenzio. Usagaji unaanzia kwenye mawazo kwanza.
kweli boss mimi ni shaidi no moja mimi namshangaa martina sema ni vile alifanya na mtu wa karibu ndo maana inamtesa
ahaaa dokta ni ngumu kuacha ila hataki na anajuta.sasa ushauri gani huo unampa?You are a lesbo...you just didn't knew! Now that you know...either pretend you are not and be unhappy..or tii kiu yako!
Siyo wewe uliyesema boyfriend wako ni jambazi mwenye mshiko?Ukawa unataka ushauri?
Nisamehe kama nimekosea.
sio this days the boss wangu,tokea zamani ipo saaana kwenye mabweni ya wasichana
huna shida yeyote muombe tu mungu wako akusamehe watu kibao wamepiga ilo gemuduh!!! kumbe mimi si wa ajabu sana???
Yeomwooi mandedesheni nkinkimwana....
ahaaa dokta ni ngumu kuacha ila hataki na anajuta.sasa ushauri gani huo unampa?
tunaishi na wanamme ndani ya nyumba zetu wakiwa kaka au binamu lakini hatuwatamani na wala hawatustui.
Nyumbani tulala kitanda kimoja ndugu na wakti mwingine wala hatukumbuki kulala mzungu wa nne na wala hamna anayehisi chochote
Partly nakubaliana na kwamba inaanza kichwani ila kwenye shule za boarding ipo sana tena sio single sex peke yake hata shule mchanganyiko ipo
ila watu wengi huacha/hupunguza wanapoondoka mashuleni
tupo pamoja.Long sana, ila hapakuwa na pa kusemea.
Ilkuwa kama siri ya shuleni huko huko hakuna anayeileta mtaani