Hiki kisa nimekifanya siri/vumilia kinantesa ni nafuu nikiseme kinitoke kichwani

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,292
7,148
@arusha, mama mchagga,baba mngoni.


my boyfriend /Ole MANIANIA yupo safarini (ubelgiji) na awali aliniambia atakuja likizo baada miezi mitatu baadae akanjulisha hawezi kuja Tz kutokana na ukata may be baada ya miezi sita

imepita miezi mitano mdogo wake wa KIKE (baba mmoja mama tofauti) ni rafiki yangu wa siku nyingi karudi likizo.Ikawa tumetoka wote ilikuwa mwezi wa kumi jumamosi kuhudhuria harusi flani, tulichelewa kurudi home ikabidi alale kwangu.

Tukaoga fasta akachukua manukato anayotumia kaka yake akajipulizia kuingia kitandani kutafuta usingizi akaniuliza KWA NAMNA GANI NAVYOMMISS KAKA YAKE, akaniambia anatamani kuwa Ole MANIANIA, mara akaniwekea mkono kwenye ziwa na kuanza kuli........NIKAPANDWA HASIRA ila akanisihi ni try to imitate she is ole MANIANIA, hilo lilikuwa kosa kubwa manake as nilipobeep to imitate nikajikuta nimemvutia mdomoni denda denda,nyonyana ulimi, mpaka tukatimiza vifungu vyote


My take:Hiki kisa nimekuvumila ila ni bora nikiseme ili kinitoke kichwani kwani kinanitesa
note:Mdogo wake wa kike na sii wa kiume
 
Sijui nikieleze nini kizazi hiki, katubu tu ndugu yangu, uuingie mwaka vizuri! Umetembea na shemejiyo? Lohh!
 
Siyo wewe uliyesema boyfriend wako ni jambazi mwenye mshiko?Ukawa unataka ushauri?
Nisamehe kama nimekosea.

hi!
pls usome tena ile sredi. Nilieleza kisa ya shosti yangu aliyevusha umri wa kuolewa mwenye bf jambazi. Nilieleza wazi kwamba namsemea/speak on behalf ya my shosti
 
duh wewe sikiliza bwana haya mapenzi ya mbali sio mapenzi kabisa...wala usijilaumu huyo jamaa kakuweka majaribuni sana na wewe ni mwanamke mwenye mahitaji...so ndio hivyo. let he come and pick up the remnants of wat used to be a relationship. hahahha
 
Back
Top Bottom