Ndetimakete
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 402
- 308
Sky Eclat usilolijua ni kama uthiku wa giza novena ndio nini?Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
Hivi kweli kama mzazi imani yako siyo hiyo ya mavazi hayo na akili yako ni timamu ...wampeleka mwanao huko ili iweje...manake kama ufaulu ni hakuna.Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili
shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo. mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analizisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?
Haki itendeke kote
huyo alifanya vizuri sana...Allah amlipe kheirKuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
ni mawazo yako na una haki ya kutoa mawazo hukatazwi na mtu ila kwa waislam ni lazima zivaliwe popote pale walipo.Hijab zivaliwe msikitini tu basi Hata kwenye public gathering zipigwe marufuku kabisa
kweli kabisa mkuu.....nashangaa viongozi wao wanavaa vzr kiasi ila wao wanakaa nusu uchi...akili iko wapi hapoNadhan itafika sehem wale masista pia mtawataka wavue hijabu zao!
Nyie ndo mnaolinganisha uarabu n uislamu na hijabu na uislamu, Yakupasa ujue Hijabu ni vazi la stara ambalo waislamu wanavaa! Na ndio maana hata masista pia wanavaa kufunika maungo yao ingawa wao sio waislamu
Asalam alykhum ina maana ya "amani iwe nanyi" hii salamu hata yesu aliitumia sana.Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Masista si viongozi wetu..sio kila mkristo ni mkatoliki..hijabu haina uhusiano na kujistiri na kuwa kichwa waz hakumaanishi ndio hujajistiri..kujistiri ni kuvaa mavaz ya heshima na hujabu si lazima na haina umuhimu kwa sisi wakristo hata hao masista wenyewe km uko makini kuwaangalia utagundua hawavaag hijabu ila ni aina ya kilemba cz uvaaji wa hijabu ni tofauti kabisa na jinsi masista wavaavyo!kweli kabisa mkuu.....nashangaa viongozi wao wanavaa vzr kiasi ila wao wanakaa nusu uchi...akili iko wapi hapo
Unatetea ugaidi??ni mawazo yako na una haki ya kutoa mawazo hukatazwi na mtu ila kwa waislam ni lazima zivaliwe popote pale walipo.
Masista si viongozi wetu..sio kila mkristo ni mkatoliki..hijabu haina uhusiano na kujistiri na kuwa kichwa waz hakumaanishi ndio hujajistiri..kujistiri ni kuvaa mavaz ya heshima na hujabu si lazima na haina umuhimu kwa sisi wakristo hata hao masista wenyewe km uko makini kuwaangalia utagundua hawavaag hijabu ila ni aina ya kilemba cz uvaaji wa hijabu ni tofauti kabisa na jinsi masista wavaavyo!
sasa unawafundisha watoto elimu au unawafundisha salamu maria?,
no wonder maprofesa na madoctor wenu ung'eng'e haupandi,,ha ha ha ha
natania tu wazee msije mkanitafuna mbichi mbichi.
Hijab zivaliwe msikitini tu basi Hata kwenye public gathering zipigwe marufuku kabisa
Zinaficha magaidikwa nini mkuu?
Hivi wale wanasalimia kulugha sio salaam?Kwa nchi hii hiyo salaam siyo kubadili dini tattizo lenu hiyo ya kwenu huwa hamtaki kutoa ufafanuzi ina maana gani?
Asalaam aleykum sio salam ya kiislam brother...ni ya kiarab..aman iwe kwenuHao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'