A Aunt ite New Member Jan 20, 2012 1 0 Jan 24, 2012 #1 Wapendwa watanzania,hoja niliyo nayo inaniumiza kichwa hiivi kwanini kijana anatumia nguvu ya ziada kumpata binti wakati anafahamu anataka apite tu
Wapendwa watanzania,hoja niliyo nayo inaniumiza kichwa hiivi kwanini kijana anatumia nguvu ya ziada kumpata binti wakati anafahamu anataka apite tu
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 24, 2012 #4 nadhani hiyo itafaa zaidi kama utaipeleka jukwaa la mapenzi. karibu sana JF
Vmark. JF-Expert Member Aug 2, 2011 1,353 270 Jan 25, 2012 #6 Karibu sana....im expecting a lot from u....
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 26, 2012 #8 Aunt ite said: Wapendwa watanzania,hoja niliyo nayo inaniumiza kichwa hiivi kwanini kijana anatumia nguvu ya ziada kumpata binti wakati anafahamu anataka apite tu Click to expand... Karibu sana JF. Nadhani hii mada inafaa zaidi kama utaipeleka jukwaa la mapenzi
Aunt ite said: Wapendwa watanzania,hoja niliyo nayo inaniumiza kichwa hiivi kwanini kijana anatumia nguvu ya ziada kumpata binti wakati anafahamu anataka apite tu Click to expand... Karibu sana JF. Nadhani hii mada inafaa zaidi kama utaipeleka jukwaa la mapenzi
Kabakabana JF-Expert Member Aug 5, 2011 5,551 1,159 Jan 26, 2012 #9 Yani kama hili limekuumiza kichwa,tegemea kufa kwa presha