MikeGolles
Member
- Mar 31, 2012
- 73
- 9
Wadau naombeni msaada! Hii ya traffic police inanipa shida kidogo kuielewa! Nimekwenda kulipa sumatra ukaguzi wa gari unafanyika kwa elfu 10, na ukienda kwa ajili ya loss report charge yake ni elfu 5, ambazo kwa taratibu za police hasa Arusha zinatakiwa zilipwe kwa mhasibu wa police!
Taratibu mpya ni kwamba utakwenda kwa mhasibu atakupa bank sleep ambazo utakwenda kulipa NMB !
Majuzi nimekwenda kukaguliwa gari police kwa ajili ya kupata sumatra lakini taratibu nilizopitia nikama nilivyoeleza! Unapitia traffic then wanakuelekeza kwa mhasibu then NMB halafu unarudi kwa mhasibu unampa bank slip na yeye anakupa stakabadhi ya serikal ambayo utakwenda nayo kwa vehicle inspector atakagua gari husika na atakujazia form ambayo utaipeleka ofisi za sumatra!
Traffic Arusha wanasimama barabarani kwa kundi hadi la police 20 na wanatoza penalt magari hadi zaidi ya makosa matatu kwa gari moja, ambayo kwa mujibu wa sheria ni itakuwa ni 90,000 na kuendelea!
Tatizo langu lipo hapa , kama watahitaji loss report ya tsh 500 ilipwe bank! na bank slip ipelekwe kwa mhasibu ili upewe stakabadhi ya serikali! inakuwaje hizi nyingi zilipwe barabarani bila mhasibu but just police form as they call it notification? Je hivi ndivyo pesa za serikali zinakusanywa!
Traffic act zinatungwa na bunge na motor vehicle lisence haiko kwenye trafik act kama ikiisha muda wake, sababu TRA watakuadhibu wenyewe cha ajabu traffic Arusha wakucharge penalt ya motor vehicle! Je sheria za nchi hii zinaruhusu mtu aadhibiwe mara 2?
Wadau nisaidieni kama sheria za nchi hii zinaruhusu uadhibiwe na police na pia Sumatra ?
Naombeni mnijibu wakuu!
Taratibu mpya ni kwamba utakwenda kwa mhasibu atakupa bank sleep ambazo utakwenda kulipa NMB !
Majuzi nimekwenda kukaguliwa gari police kwa ajili ya kupata sumatra lakini taratibu nilizopitia nikama nilivyoeleza! Unapitia traffic then wanakuelekeza kwa mhasibu then NMB halafu unarudi kwa mhasibu unampa bank slip na yeye anakupa stakabadhi ya serikal ambayo utakwenda nayo kwa vehicle inspector atakagua gari husika na atakujazia form ambayo utaipeleka ofisi za sumatra!
Traffic Arusha wanasimama barabarani kwa kundi hadi la police 20 na wanatoza penalt magari hadi zaidi ya makosa matatu kwa gari moja, ambayo kwa mujibu wa sheria ni itakuwa ni 90,000 na kuendelea!
Tatizo langu lipo hapa , kama watahitaji loss report ya tsh 500 ilipwe bank! na bank slip ipelekwe kwa mhasibu ili upewe stakabadhi ya serikali! inakuwaje hizi nyingi zilipwe barabarani bila mhasibu but just police form as they call it notification? Je hivi ndivyo pesa za serikali zinakusanywa!
Traffic act zinatungwa na bunge na motor vehicle lisence haiko kwenye trafik act kama ikiisha muda wake, sababu TRA watakuadhibu wenyewe cha ajabu traffic Arusha wakucharge penalt ya motor vehicle! Je sheria za nchi hii zinaruhusu mtu aadhibiwe mara 2?
Wadau nisaidieni kama sheria za nchi hii zinaruhusu uadhibiwe na police na pia Sumatra ?
Naombeni mnijibu wakuu!