Hii ya Police Traffic Arusha imakaaje?

Hii ya Police Traffic Arusha imakaaje?

Hat siku moja trafic akikukamata muulize kosa,thn akuandikie,uende kulipia police,ukilipa road hazifiki oficn,kuhusu hiyo 500 kulipia bank hta mm hua naona ni bonge la usumbufu tu

Kamanda Kombe (R.I.P) aliwahi kusema sio lazima ulipe fine papo hapo japokuwa utaandikiwa notification lakini utapewa gross period ya 2weeks uwe umelipa!

Sasa cha ajabu hawa wa Arusha mara akwambie uache leseni original ukija kulipa uje uichukue! Sijui kama ndio muongozo ambao Kamanda Mpinga amewapa askari wake wa kukusanya mapato barabarani bila hata risiti?
Au nao ni ufisadi?

Zamani walikuwa wang'oa insurance mpaka ulipe notification!
 
Ndugu yangu kama una muda mzuri fanya kama mimi, kusanya hizo notification, hakikisha unayempa pesa au fine whatever you call it, ameweka sahihi na majina yake yote. Mpe mda wa kula hizo pesa hata wiki mbili au tatu kisha uende kituoni kwake ukaonane na mhasibu ili kudai risiti yako ambayo ni halali yako. Kitakachotokea ni mhasibu kumpigia simu polisi aiyekukamata kwamba aiwakilishe pesa ili upewe risiti yako, cheki atakavyokubembeleza sasa myamalize maana hatakua nahiyo pesa[/QU Mkuu nakubaliana nawewe hawa jamaa njaa sana dawa yao ni hiyo, pia tatizo madereva wengi hawajui vifungu vya sheria so wanakamtwa hata kwa kutobeba leseni
 
Very senseless and imbecile comment.
Unajibu kama Pwagu na Pwaguzi we kubwa jinga.
Ishu sio wewe kuwa trafic police au kuwahi kutoza hiyo fine, unatakiwa ujibu kwanini 500 ilipwe kwa taratibu za benki, wakati zile za barabarani zinapokelewa na askari mwenyewe?
Hovyo kabisa.
Ukila pesa za mjane lazima uwe Mbulumundu kama huyu mbulula.

Ahsante sana Paka Jimmy, issue hapa ukilipa pesa ya ukaguzi utarudisha bank slip kwa ofisi ya mhasibu wa polisi na atakupa risiti ya serikali ile nyembamba ya njano na ukienda sumatra atakuuliza na atattach na documents zako nyingine!
Je police Arusha wanapokea pesa kihuni bila hata mhasibu wala stakabadhi ni vile wanajua hazikaguliwi na mtu mwingine?
Je TAKUKURU wanajua wizi unaofanywa na traffic Arusha? Je waziri wa fedha au mambo ya ndani wililifahamu hilo?
 
Back
Top Bottom