Mifano mingi je kuna biashara gani jeshi inafanya kwa faida ya kupewa bank!!. Kama ni kwa wanajeshi basi wande bank za kawaida kuna tatizo gani? Tanzania ni nchi masikini sasa badala ya kuachia mashirika binafsi yafanye kazi tunataka wananchi wachukue pesa za kuanzisha bank za kifisadi za jeshi!. Jeshi la Tanzania linafanya nini kwanza kwa taifa zaidi ya kutumia pesa tu!!!