Hii tweet ya Nape inamlenga nani?

yote yanaweza kuwa sahihi, kwamba yule asiyejibiwa kuna mtego unategwa umnase, lakini pia inawezekana anayetakiwa kujibu hana majibu!
 
Ila lissu naona bado hajavuma mitandaoni kama lowassa ilivyokuwa. Ongezeni juhudi wadeki lami jamani!

unapomfananisha Lissu na EL unakosea sana..

El alijijenga kisiasa in10yrs na zaidi akiwa ndani ya mfumo, El akiwa PM alitumia UPM wake kuusaka urais akitumia rasirimali za nchi na watu...

TL zaidi ya 3yrs yuko kitandani nje ya nchi na hakuwepo kwenye mfumo ambao ungemfanya atumie rasirimali za nchi...Hii nguvu yake unayoiona ni ya asili kabisa haina force yeyote.

Tukiwa wakweli kabisa, uwanja wa siasa kuanzia 2005-2015 ulikuwa free sana kufanya siasa na kujitangaza kwa watu hivyo ilikuwa rahisi mtu kujulikana na kujizolea wafuasia.. Kuanzia 2015 to 2020 uwanja wa kisiasa ulikuwa wa upande mmoja sana na wapinzani hawakuwa huri kufanya siasa za kiushindani zaidi ya kukimbizana na vyombo vya dola..

Kifupi tunaweza kusema in 5yrs CCM alikuwa anapambana na adui aliyefungwa mikono, hivyo huwezi kumuita huyu adui wa CCM ni mzembe huku alifungwa mikono na kuambiwa apigane..

Uwanja huru wa siasa Africa haupo kwa vyama vya upinzani na ni kama vyama tawala havitaki mfumo wa vyama vingi ila vinalazimishwa tu na jumuiya ya kimataifa..
 
Yani hapa ndiyo utaona watu wasivyo na akili kichwani yaani wanafikiria ushabiki kila mara hapo huoni kuwa nape ameonyesha kuwa anayepiga kelele bila kujibiwa ni lissu na hajibiwi anaropoka weeee hajibiwi kwahiyo ni kama yupo kwenye draft ameachwa aleee asubiri mwisho wa mchezo atabaki amepanua domo lake lile kama nyani.
Kwa wale wasiojulikana kuja kwa namna nyingine! Mlamba viatu ametoa tahadhari manake anazijua nguvu zao!!
 
Huyu jamaa alishapoteza Credibility..., huenda hata hii kauli yake amepotoka tungoje labda ataomba msamaha kwa kukosea alichoandika hapo...
 
Tena hilo draft lisiwe Dalmax Checkers,akikupa mbili bure jiandae ku-Resign.😁

Nawashauri waendelee kukaa kimya hivyohivyo tu kama alivyokaa Dr Kalemani mpaka hiyo chorus ya CCTV cameras kuwa kwake ikachuja.
 
Kama anamsema Lissu basi ukweli ni kwamba zile hoja hazijibiki kwa hoja kinzani labda kwa goli la Maradona tu.
 
unapomfananisha Lissu na EL unakosea sana..

El alijijenga kisiasa in10yrs na zaidi akiwa ndani ya mfumo, El akiwa PM alitumia UPM wake kuusaka urais akitumia rasirimali za nchi na watu...

TL zaidi ya 3yrs yuko kitandani nje ya nchi na hakuwepo kwenye mfumo ambao ungemfanya atumie rasirimali za nchi...Hii nguvu yake unayoiona ni ya asili kabisa haina force yeyote.

Tukiwa wakweli kabisa, uwanja wa siasa kuanzia 2005-2015 ulikuwa free sana kufanya siasa na kujitangaza kwa watu hivyo ilikuwa rahisi mtu kujulikana na kujizolea wafuasia.. Kuanzia 2015 to 2020 uwanja wa kisiasa ulikuwa wa upande mmoja sana na wapinzani hawakuwa huri kufanya siasa za kiushindani zaidi ya kukimbizana na vyombo vya dola..

Kifupi tunaweza kusema in 5yrs CCM alikuwa anapambana na adui aliyefungwa mikono, hivyo huwezi kumuita huyu adui wa CCM ni mzembe huku alifungwa mikono na kuambiwa apigane..

Uwanja huru wa siasa Africa haupo kwa vyama vya upinzani na ni kama vyama tawala havitaki mfumo wa vyama vingi ila vinalazimishwa tu na jumuiya ya kimataifa..
Mimi siongelei lissu naongelea wapambe wa mitandaoni! Na kwa statement yako unakili kuwa Lissu bado kapwaya kwa lowassa bila kujali vijisababu ulivyovitoa.
 
Back
Top Bottom