Tatizo lako umekurupuka kutoka kwenye klub ya kimpumuYani hapa ndiyo utaona watu wasivyo na akili kichwani yaani wanafikiria ushabiki kila mara hapo huoni kuwa nape ameonyesha kuwa anayepiga kelele bila kujibiwa ni lissu na hajibiwi anaropoka weeee hajibiwi kwahiyo ni kama yupo kwenye draft ameachwa aleee asubiri mwisho wa mchezo atabaki amepanua domo lake lile kama nyani.
Jiwe walimuingiza kingjingalao,
Mkuu Nape yuko sahihi kabisa, wakati miaka 5 watu wamepigwa stop kuongea, ilionekana kama hii mbinu imefaulu kuwafuta katika ulingo wa siasa, sasa siasa zimeruhusiwa na haya ndio matokeo ambayo hayakutarajiwa.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Upo vizuri dadeeekiWanamuziki wa taarabu wanajua na kutoa mafumbo mengi.
Tangu huyu jamaa adhalilike kwa kuomba msamaha amekuwa mkimya sana,sasa anaanza kujisahau.
Lile bao lake la mkono limempatia mimba ya mkononi.
Tutaelewana tu kidogokidogo
Limeshasahau ubaya lililotendewa wa kunyooshewa bastola hadharani!
Hii tweet ukiiangalia bila ushabiki ina ujumbe mwanana kwa TL.Wakubwa hii tweet ya Nape inamlenga nani?
Anasema "Kwenye Siasa ukiona unapiga kelele halafu hujibiwi fikiri mara mbili"
Dongo kwa pogba au ?Limeshasahau ubaya lililotendewa wa kunyooshewa bastola hadharani!
Tundu Lisu analengwa hapoWakubwa hii tweet ya Nape inamlenga nani?
Anasema "Kwenye Siasa ukiona unapiga kelele halafu hujibiwi fikiri mara mbili"
Ina maana leo Hii tutapata jibu.Hii tweet ukiiangalia bila ushabiki ina ujumbe mwanana kwa TL.
Ni kama vile Nape kampa hadhari ili ajiimarishe zaidi na harakati zake.
Sasa Kama hao wanaopigiwa kelele hawana Cha kujibu wafanyaje?? Watu wamepoteana kwa kelele za lissu View attachment 1534595
Alikuwa akimlenga mwendazake na wafuasi wake, mwenyewe si unaona kilichofuata baada ya kuachwa atambe?😂