Lyaka Mlima Jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2020
- 358
- 521
Walimkosa risasi saa sita mchana,Wakubwa hii tweet ya Nape inamlenga nani?
Anasema "Kwenye Siasa ukiona unapiga kelele halafu hujibiwi fikiri mara mbili"
Walimkosa risasi saa sita mchana,Wakubwa hii tweet ya Nape inamlenga nani?
Anasema "Kwenye Siasa ukiona unapiga kelele halafu hujibiwi fikiri mara mbili"
Limeshasahau ubaya lililotendewa wa kunyooshewa bastola hadharani!
Hata kama haijamlenga huyo alomweka hapo lakini kiuhalisia na alikotoka kabla hajaomba msamaha bado inawakilisha bwana yuleWakubwa hii tweet ya Nape inamlenga nani?
Anasema "Kwenye Siasa ukiona unapiga kelele halafu hujibiwi fikiri mara mbili"
Kuna ukweli hapo
Safari hii lazima urudi kwenu mkwajuni ukauze maparachichiMbona mnajihukumu?
Huko insta msigwa kaposti akaandika "kakaa umekanyaga waya"sasa sijajua nini kitamtokea au labda atapigwa shotiLimeshasahau ubaya lililotendewa wa kunyooshewa bastola hadharani!
Jiwe akiona hii picha lazima asonye kidogoSasa Kama hao wanaopigiwa kelele hawana Cha kujibu wafanyaje?? Watu wamepoteana kwa kelele za lissu View attachment 1534595
Siwezi kumind zuzuMbona umeumia sana kamanda?
Inakataliwa kila sehemu labda itabakia mtera tu kwa KibajajCCM imeshikwa pabaya. Wananchi wamechoshwa na nyimbo za Stiglers, SGR, fly over and the like ambazo zimesikika kwa miaka mitano huku wao wakiendelea kufa njaa.
Wanataka kusikia kutoka kwa mkombozi atakaye boresha maisha yao.
Mwingine huyo hapoKama hivi
View attachment 1534608
Ingekuwa kwetu hicho kitu usikitegemeeHivi serikali ya Lebanon kwa ule mlipuko walitakiwa wafanyaje zaidi ya stepping down....
Hujaijua ccm ww ndio maana unatia povu Hilo🤣😂🤣!Limeshasahau ubaya lililotendewa wa kunyooshewa bastola hadharani!