Hiyo pia ina apply kwa upande wa pili miaka mitano huo upande umetamba, sasa ndio unapatiwa majibu.yani hapa ndiyo utaona watu wasivyo na akili kichwani yaani wanafikiria ushabiki kila mara hapo huoni kuwa nape ameonyesha kuwa anayepiga kelele bila kujibiwa ni lissu na hajibiwi anaropoka weeee hajibiwi kwahiyo ni kama yupo kwenye draft ameachwa aleee asubiri mwisho wa mchezo atabaki amepanua domo lake lile kama nyani
Anajipendekeza ili jina lake lisikatwe, njaa mbaya sanaWakubwa hii tweet ya Nape inamlenga nani?
Anasema "Kwenye Siasa ukiona unapiga kelele halafu hujibiwi fikiri mara mbili"
Ila lissu naona bado hajavuma mitandaoni kama lowassa ilivyokuwa. Ongezeni juhudi wadeki lami jamani!jingalao,
Utajibu nini kwenye hoja ya kujenga uwanja wa ndege kijijini kwenu tena kwa kampuni inayosemekana una uhusiano nayo kwa utaratibu ambao wala haukujadiliwa wala kupitishwa na bunge?
Spana za Lissu ni kali sana kwenu mataga!! Mnatamani kusiwe na uchaguzi mwaka huu😃. Na huyo ndo Lissu!
Umemuuliza mbowe na kampuni iliyo supply vitu vya kampeni 2015 mpaka sasa wanadai pesa kuwa ni ya nani kama sio shemeji wa mbowe?jingalao,
Utajibu nini kwenye hoja ya kujenga uwanja wa ndege kijijini kwenu tena kwa kampuni inayosemekana una uhusiano nayo kwa utaratibu ambao wala haukujadiliwa wala kupitishwa na bunge?
Spana za Lissu ni kali sana kwenu mataga!! Mnatamani kusiwe na uchaguzi mwaka huu😃. Na huyo ndo Lissu!
Umejibiwa?Saa nyingine neno likikuchoma huwa una gugumia nalo.. Kwani sio kweli hayo madini bado ni makaburu wanachimba?? Au Msoga kuna uwanja wa ndege na mbuga ya kupandikiza. Msitafute kuchokonolewa zaidi..
Heri yako wewe unayelamba soli za komedian mwenye damu ya wakenya mwilini mwake.Mlamba sole za viatu vya Jiwe Hana jipya
Pesa ni sabuni ya roho, mzee wa mipasho anarudi ulingoni.Limeshasahau ubaya lililotendewa wa kunyooshewa bastola hadharani!
Njaa mbaya sana!Pesa ni sabuni ya roho, mzee wa mipasho anarudi ulingoni.
Baada ya kudhalilishwa na mtukufu kutembea tangu gate la Ikulu mpaka mlangoni huku kamera zikimmulika.Njaa mbaya sana!