hii tu ndiyo tofauti

hii tu ndiyo tofauti

Sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
mjukuu:"babu kwani kuna tofauti gani kati ya chupi ya zamani na ya sasa?
Babu:"zamani ili uone kalio unapanua chup,siku hizi ili uone chupi unapanua kalio"
mjukuu:"sikuelewi babu"
babu:"kalio la zamani lilikuwa ndani ya chupi,lakini chupi ya sasa ipo ndani ya kalio"
 
Mwanamke anavaa chupi na mwanaume anavaa mupi!
 
Hayo ndio mambo ya ****** kuvaa kandambili
 
That's when skintight is tight than the skin cause ur free when naked than skintight!
 
mjukuu:"babu kwani kuna tofauti gani kati ya chupi ya zamani na ya sasa?
Babu:"zamani ili uone kalio unapanua chup,siku hizi ili uone chupi unapanua kalio"
mjukuu:"sikuelewi babu"
babu:"kalio la zamani lilikuwa ndani ya chupi,lakini chupi ya sasa ipo ndani ya kalio"
hii nimekubali.
 
Back
Top Bottom