Hii tabia ya wavulana ikome

Hii tabia ya wavulana ikome

mi naona tatizo liko kwa akina dada,utakubalije kurekodiwa ukiwa unananilihiwa?
 
kwani wakati mwanaume ana-shoot hiyo video mwanamke anakua kazimia? ndo wakome kugongwa ovyo! wengi wanaofanyiwa hivyo ni malaya tu kama wale wanaojiuza.

Kama ndio hao mbona hiyo ni kama promo ili apate wateja wengi zaidi.
 
Itafikia kipindi kabla ya kubanjuana kila mmoja anawasilisha simu yake zinafungiwa funguo anapewa receptionist

Au la doggy style zitaachwa kufanywa, maana wakati binti wa watu busy kukata viuno "kivulana" busy kumrekodi
 
Broo baadhi ya wadada wenyewe wanapenda kurekodiwa isha wahi kunitokea tumemaliza gem akaniomba nimpige picha akiwa uchi kifupi nilimkatalia na nikamuonya mchezo huo asiufanye .point yako ni nzuri lakini hata wao huwa ni chanzo
 
Sambamba na hilo ni hili la picha za utupu nazo sijui wanapigwa na hao wavulana wao, yaani wanawake ndo wamekuwa limbukeni wa kwanza na hizi smart phone kama wametengenezewa wao, nina uhakika zinachukuliwa hizo video hata wao wanafurahia, nadiriki kusema siku hizi mapenzi hayafanywi kwa hisia ila ni kwa maonyesho ndo maana haya mambo yanakuwa kama ya kawaida hivi, hili suala ni la wanawake wenyewe wapinge au mnasubiri kuwezeshwa katika hili pia ili hali mnadhalilishwa? naamini mkiwezeshwa mnaweza
 
Broo baadhi ya wadada wenyewe wanapenda kurekodiwa isha wahi kunitokea tumemaliza gem akaniomba nimpige picha akiwa uchi kifupi nilimkatalia na nikamuonya mchezo huo asiufanye .point yako ni nzuri lakini hata wao huwa ni chanzo
Nakuumga mkono naamini hata wao wanapenda hivyo
 
wakubwa aliosema ni marufuku kupigana miti kabla ya ndoa,walifikiria mengi sana,waliona mengi sana,binti unavuliwa nguo hovyo hovyo tu kama mbwa koko na vijamaa vinavaa suruali chini ya ---- unategemea staha kweli huko faragha!!?

Hata kama mnatigwa na ukakasi muwe mnaangalia wanaojitambua ili kuhifadhi heshima yenu,la sivyo mtarekodiwa sana.

Kama lile la chuo gani sjui.f***ck up.

Sent from my radio
 
Umesomeka, ila wenye tabia hizi wengi wako facebook. Anzisha huu uzi facebook mkuu.
 
Wengine tabia zao kama wameshushwa juu ya mti mptuuuuuuuuu
 
Mademu wenyewe hawana hata mpango wa kuolewa wanawaza migegedo kila wakati waache wadhalilishwe maana walipenda wenyewe. Maana ishu kama hiyo si rahisi kwa mke wa mtu adha way ameenda kwa mchepuko wake
 
Hata hivyo,hotel nyingi na zile lodge kalikali hapa mjini,wamefunga camera maalumu za kurecord matukio yote yanayofanyika chumbani. Na baadae baadhi zinatengenezwa DVD na kuuzwa mitaani. Hapa suluhisho ni kuachana na umalaya ili kuepuka fedheha! Ukijiachia ipo siku utanunua CD yako.

Loo kwa jinsi nilivyo huzuria mechi nying nisha kuwa male pornstar bila kujijua.
 
wakubwa aliosema ni marufuku kupigana miti kabla ya ndoa,walifikiria mengi sana,waliona mengi sana,binti unavuliwa nguo hovyo hovyo tu kama mbwa koko na vijamaa vinavaa suruali chini ya ---- unategemea staha kweli huko faragha!!?

Hata kama mnatigwa na ukakasi muwe mnaangalia wanaojitambua ili kuhifadhi heshima yenu,la sivyo mtarekodiwa sana.

Kama lile la chuo gani sjui.f***ck up.

Sent from my radio

aisee umenikumbusha mbali sana hilo neno "kupigana miti" ... usemavyo ni kweli na ukute kijamaa kimevaa suruali kama mfuko wa picha ipo chini ya k.u.n du staha hakuna hapo

sent from my TV
 
Siyo wanaume tu hata nyie wanawake ndo mnapenda kuturekodi mkawaonyeshe mashoga zenu kuwa yule boy wangu ni nouma hebu muoneni anavyonipandisha juu ya mlima

Hii brand new,, mi sijawah kusikia mwanamke ana mrecord mwanaume ukisema kusimuliana ntakuelewa.
 
Mabinti wenyewe ndio wanapenda kurekodiwa,tena akiwa na vitak* vyake vya kichina amevibinua ndo anajiona porn star
 
Back
Top Bottom