Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
- Thread starter
- #21
kwani wakati mwanaume ana-shoot hiyo video mwanamke anakua kazimia? ndo wakome kugongwa ovyo! wengi wanaofanyiwa hivyo ni malaya tu kama wale wanaojiuza.
Ndugu siyo kweli,sio wote wanaorekodiwa hizo video ni malaya kama unavyosema.Hata kama ni malaya kwanini umdhalilishe?mwanamke akikubali kulala na wewe ni malaya?kwani yeye si binadamu mwenye kuhisi kufanya mapenzi?hii si tabia nzuri hata kidogo.