Hii tabia ya wanawake kupiga picha za design hii ni fashion au?

Ni maafa ya utandawazi tu.Kuna kipindi itafika kuweka picha za tendo lile lilopelekea hali hiyo zitaanza kutupiwa ,nan wahusika wenyewe.
 
Kujidhalilisha wenyewe ni sawa ila kudhalilishwa ni kosa.ni nini sasa hiki,Hivi si hata baba zao wanawaona maana wanatupia mitandaon??
 
Siyapendi haya mamtu basi tu. Tumejaliwa mila na desturi nzuri lakini kwa ulimbukeni huu wa kijinga bora tu nimpende mama yangu Pagi
 

Hii inaitwa force that is directly proportional to the product of their Pregnant
 
Ama kweli, wapiga picha kazi wanayo!! Kama nawaona vile wakiwa wanatoa maelekezo ya jinsi ya kukaa! Kibarua hiki kimeshakuwa kigumu tyr!!!
 
Kumekua na tabia ya wamama wengi wanaokaribia kujifungua kupiga picha za nusu utupu zikionyesha ukubwa wa tumbo /mimba.
Hii trend ya picha hizi niwahi kuziona mara ya kwanza kwa mastaa wa nje wakipiga na kuziweka mtandaoni, nikajua labda ndo utamaduni wao.

Sasa naona hii kitu imeanza kushika kasi kwenye jamii yetu, sasa sijui ndo kukua kwa utandawazi au ni moja ya desturi tuliyo amua ku adapt ilikwendana na wakati ama ni vipi

Labda mnieleweshe, hii tabia ya kupiga picha za mtindo huu ni sawa ama nyie mnaionaje.
View attachment 461020View attachment 461021View attachment 461022View attachment 461023View attachment 461024View attachment 461025 View attachment 461018View attachment 461019

wendawazimu umewaingia.
 
Tatizo ni ubora wa mayai ya uzazi watu hawana uhakika nayo hivyo akiipata tu atatambishia bara na visiwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom