nakubaliana nawe asilimia mia mojaUtandawazi, kuiga tamaduni za nje... Zamani hayo mambo hayakushika kasi kama sasa.. Ulimbukeni ndio unawafanya hivyo...wanaona fahari na sifa
Upande mmoja ni sifa kwa mwanamke kuwa mja mzito - hao wanawake wanaona sifa kuonesha matumbo yao (hasa kama ametafuta ujauzito siku nyingi). Sifa hiyo imefikia kuyafunua matumbo yao.Utandawazi, kuiga tamaduni za nje... Zamani hayo mambo hayakushika kasi kama sasa.. Ulimbukeni ndio unawafanya hivyo...wanaona fahari na sifa
Hahahahahahaaaaa umenichekesha sanaKuna watu watafanya photoshoot wakinya...yangu macho...
kwani akiwa amevaa mavazi ya staha nini kitaharibika...mimba nayo ni matangazo siku hizi mitandaoni?Upande mmoja ni sifa kwa mwanamke kuwa mja mzito - hao wanawake wanaona sifa kuonesha matumbo yao (hasa kama ametafuta ujauzito siku nyingi). Sifa hiyo imefikia kuyafunua matumbo yao.
Upande mwingine wanawake wanaona aibu kuonekana ni wajawazito (kwamba nao hufanya ngono - kitendo cha siri), hivyo hawa huvaa gauni pana (maternity).
Kweli madame wanakera sananakubaliana nawe asilimia mia moja
MKUU HAPA DUNIANI ,KUNA WANAWAKE WA AINA MBILI --Kumeibuka wimbi la wadada wajawazito kupiga picha huku wameshikilia matumbo yao na kisha kuzitupia kwenye mitandao ya kijamii.
Huwa malengo yake hasa ni yapi?
Huenda nimepitwa na wakati, napaswa kuji-update.
Mapendo,
TANMO.
na naona imekua kama mazoea hivi mtu akipata ujauzito lazima tuone tumbo kuna husdaza macho na watu hawajui hiloKweli madame wanakera sana
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Inabidi wajirekebishe kwa kwelina naona imekua kama mazoea hivi mtu akipata ujauzito lazima tuone tumbo kuna husdaza macho na watu hawajui hilo
mkuu labda wataweza kujirekebisha lakini sidhaniInabidi wajirekebishe kwa kweli