Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,650
- 15,970
Naomba kuuliza hapa jirani yangu kama nyumba 10 kutoka kwangu kuna msiba tangu juzi majirani tunajumuika pamoja na wafiwa na ndugu wengine wa mbali ila chaa ajabu kuna jirani mmoja hapa ni pua na mdomo na kwenye msiba yani mageti yanatizamana lakini haonekani yani anapita tu juu juu .sana sana mkewe tunaona ndio yupo karibu.
Watu wengi tunajiuliza hapa huyu jamaa vipi hii tabia ya watu kuwa hawana time na msiba hivi mnaionaje jamani na tatizo linakua ni nini haswa.?
Karibuni kwa mitazamo yenu wana jukwaa.
Watu wengi tunajiuliza hapa huyu jamaa vipi hii tabia ya watu kuwa hawana time na msiba hivi mnaionaje jamani na tatizo linakua ni nini haswa.?
Karibuni kwa mitazamo yenu wana jukwaa.