alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Imekuwa ni desturi sasa ya kila mara ama viongozi wakuu wa chama au taasisi zilizo chini yake kuitisha maandamano na hayafanyiki.Hakika nawaambia jambo hili linawaadhili na kuwafanya watu waamini ninyi ni MAJEMEDALI waoga na msio na msimamo na mambo yenu!
Nashauli,km hamna uwezo wa kupambana na changamoto za dola,bora mkae kimya kuliko kujianika na uwoga wenu!
Fanyeni tu kile kwenu kinawezekana.
Nashauli,km hamna uwezo wa kupambana na changamoto za dola,bora mkae kimya kuliko kujianika na uwoga wenu!
Fanyeni tu kile kwenu kinawezekana.