Hii style ya kuvaa naipenda sana!

Hii style ya kuvaa naipenda sana!

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,607
Reaction score
62,369
19519_128583197309562_135040484_n.jpg
 
Kuna kichaa,mwendawazimu,chizi na punguani. Huyu anatatizo moja kati ya hayo.
 
Mtu kama huyu ukimwambia habari za muundo waserikali zinamhusu nini?
 
Ukiwa mmajasiliamali lazima kuwa mbunifu sana ili kuvutia wateja.la sivyo utaishia kupiga miayo
 
Ina mifuko ya nyuma???!!!
Anachukuaje vitu au kuviweka????!!!
 
Kuna kichaa,mwendawazimu,chizi na punguani. Huyu anatatizo moja kati ya hayo.

Mnamshambulia vibaya bure lakini mi namsifu kwa mbinu hii ya kufanya biashara!! Kwa kuvaa hivi amekuwa kivutio hivyo anauza zaidi ya birika kumi kwa siku na sahani kibao za kashata. Mkija kushtuka ana maisha mengine nyie mtabaki na story alikuwa anavaa....!! Kaenda kwa mganga....!!! Blah blah kibao....!! Mjini shule.......!!
 
Mnamshambulia vibaya bure lakini mi namsifu kwa mbinu hii ya kufanya biashara!! Kwa kuvaa hivi amekuwa kivutio hivyo anauza zaidi ya birika kumi kwa siku na sahani kibao za kashata. Mkija kushtuka ana maisha mengine nyie mtabaki na story alikuwa anavaa....!! Kaenda kwa mganga....!!! Blah blah kibao....!! Mjini shule.......!!

Kuna ka fyuzi kamefyatuka!!!!
 
Back
Top Bottom