Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.
Nakubaliana nawe 100% kwani kuna Siku moja nilikutana na Profesa Mmoja mkubwa sana nchini (wa Chuo ninachokihifadhi) akibishana na Wahuni mahala Kijiweni huku pia akitukana Mitusi mikubwa mikubwa nikasema hakika Vilabu vya Simba na Yanga vimeshaturoga Watanzania wote.
Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.
Hatimaye ukweli umejulikana. Mke kamkimbia mume wake, na kwenda kwa Mwarabu! Kilichomkuta huko, ni siri yake mwenyewe. Wakati mwingine mpunguze tamaa basi.
Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.
Yaani Mume Shujaa kasafiri zake kwenda kuleta Heshima nchini Misri huku nyuma Mke Maharage ya Mbeya nae anazurula kwa Waganga wa Kienyeji (Marafiki) Mkoani Tabora.