Hii sio haki

Hii sio haki

we Demiss si wewee uliyeratibu mtu kupata hiyo nauliiii? au niwewee umechukua nauli hiyooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
hata kama ni ndogo ni pesa, una haki ya kudai.....nasisitiza rudisha pesa ya wenyewe....tafuta zako ugawe...
 
Nadhani ni vizuri tuwe tunaanzisha mada kama umepigwa laki hivi na kuendelea,ingependeza zaidi...tukiwa tunalalamikia vitu vidogo inakuwa ni rahisi mtu kujua 'status' yako pamoja na huyo aliyekuzurumu.
 
Back
Top Bottom