KITINDIKITAMU
Senior Member
- Nov 3, 2019
- 189
- 356
Hi guy's
Nimeicheki hii TV show mpya ya wasafi TV
Ni kwamba Hatuwezi kusema ni new idea au creativity but Nimeona utofauti fulani.
Watu wanaweza kuifananisha na TV-E show ya homa,au CLOUDS TV washa kideo,au EATV Friday night live,lakini ni tofauti kabisa.
Kwanza upande wa setting ya stage ni kali sana na ni international level Kama ile ya BET na hii nadhani ni zaidi.
Pia Kulinganisha na other bongo TV shows,hii naona inaendana na ile ya BET kwa ile kuwashirikisha audience ndani ya studio kwa kuuliza maswali nk.
Kwa kweli jamaa wamejipanga na wamewekeza sana kwenye hichi kipindi,ni inavutia kuangalia jinsi mazingira ya studio yalivyokuwa ni moto sana.
But naona kuhusu suala la host wa kipindi hicho ilitakiwa watafutwe wengine na si wale kina liliommy na wenzie wa kwenye the switch,
Kuna kina calypso,mtuimara na hata wangewatafuta watangazaji wengine kuhost kipindi hicho Kama vile Sam misago.
Hii ya kuwaweka watangazaji walewale tunawachoka Haraka kuwaona daily team ile ile kwenye show.
Kwaiyo setup ya show iko poa but upande wa watangazaji sijaona ubunifu mpya wala Ladha mpya,watafute face mpya kwaajili ya show hii
Wakiweka face za watangazaji wapya hapo kipindi kitatisha sana,japo sio kwamba waliopo hawawezi kubamba hapana,wanaweza but upande wangu naona kama haipendezi kutumia team ya presenters walewale kwenye show zaidi ya moja.
Nimeicheki hii TV show mpya ya wasafi TV
Ni kwamba Hatuwezi kusema ni new idea au creativity but Nimeona utofauti fulani.
Watu wanaweza kuifananisha na TV-E show ya homa,au CLOUDS TV washa kideo,au EATV Friday night live,lakini ni tofauti kabisa.
Kwanza upande wa setting ya stage ni kali sana na ni international level Kama ile ya BET na hii nadhani ni zaidi.
Pia Kulinganisha na other bongo TV shows,hii naona inaendana na ile ya BET kwa ile kuwashirikisha audience ndani ya studio kwa kuuliza maswali nk.
Kwa kweli jamaa wamejipanga na wamewekeza sana kwenye hichi kipindi,ni inavutia kuangalia jinsi mazingira ya studio yalivyokuwa ni moto sana.
But naona kuhusu suala la host wa kipindi hicho ilitakiwa watafutwe wengine na si wale kina liliommy na wenzie wa kwenye the switch,
Kuna kina calypso,mtuimara na hata wangewatafuta watangazaji wengine kuhost kipindi hicho Kama vile Sam misago.
Hii ya kuwaweka watangazaji walewale tunawachoka Haraka kuwaona daily team ile ile kwenye show.
Kwaiyo setup ya show iko poa but upande wa watangazaji sijaona ubunifu mpya wala Ladha mpya,watafute face mpya kwaajili ya show hii
Wakiweka face za watangazaji wapya hapo kipindi kitatisha sana,japo sio kwamba waliopo hawawezi kubamba hapana,wanaweza but upande wangu naona kama haipendezi kutumia team ya presenters walewale kwenye show zaidi ya moja.