Kileghe
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 363
- 313
kwa sababu wanaotunyonya na kufaidi mema ya nchi hii hawataki tutetewe, wanapenda keki ya taifa hili wale wenyewe. Mungu ibariki Tanzania yangu, Mungu mlinde raisi wa Tanzania na kumuongezea hekima.Kama kweli yeye ni mtetezi wa wanyonge na kimbilio la maskini, ulinzi wote huo wa nini.