Hii sare ya Askari anayemlinda Rais Magufuli ni ya jeshi gani katika majeshi ya nchi yetu?

View attachment 533600 View attachment 533600
Wakuu aina hii ya sare (uniform) sijawahi kuiona katika moja ya majeshi ya Tanzania.Kuanzia polisi,JWTZ,Mgambo wala kwingineko.Je naweza kufahamishwa aina hii ya sare ni mpya kwa majeshi yetu au?

Kama si mpya;Je aina hii ya sare huvaliwa na kikosi gani cha ulinzi hapa Tanzania?Hawa jamaa nimewaona leo wakimlinda Rais pale Saba saba na silaha nzito nzito za moto.Tupeane maarifa

Na silaha je?
 
Napenda sana mkuu akizidishiwa ulinz hasa nkiwaona hawa jamaa na silaha nzito nzito safi sana maana ana madui weg alowatumbua na wengne wakina fulani
 
Habari Mkuu. Hiyo sare maalum huwa inavaliwa sana na walinzi wa Ikulu. Hao hawatoki kihovyo hovyo, ila hutumika pale ambapo intellijensia imehisi kunaweza kutokea tatizo. Ama, wamehisi timu ya ulinzi inaweza isitosheleze kutokana na wingi wa watu au sababu nyingine yeyote.

Lakini hilo lisikupe shida, wanajeshi wana sare nyingi sana kutokana na eneo. Mfano, endapo vita inafanyikia jangwani, huwezi kujipeleka na lisare lako la mabaka ya kijani. Utadunguliwa mchana pee!. Kuna mavazi kutokana na eneo husika la mapigano.
Sasa hayo waliyovaa yanaendana na ardhi na uoto wetu? Napendekeza hao raia wawe wanapelekwa jeshini kwanza kisha ndio waendelee na mafunzo yao ili wanapo hitajika kuvaa bakabaka wavae bakabaka tunazozijua haya mambo ya mheshimiwa kulindwa na wanyarwanda yasingekuwepo #maendeleo hayana chama
 
Sasa hayo waliyovaa yanaendana na ardhi na uoto wetu? Napendekeza hao raia wawe wanapelekwa jeshini kwanza kisha ndio waendelee na mafunzo yao ili wanapo hitajika kuvaa bakabaka wavae bakabaka tunazozijua haya mambo ya mheshimiwa kulindwa na wanyarwanda yasingekuwepo #maendeleo hayana chama
Hivi haya mambo ya mtu yule kulindwa na wanyarwanda ni ya kwel?
 
Kazi ambayo haikuwezeshi kuwa inovative and creative inakufanya kuwa zombified. Huwezi kuwa na kitu kipya nje ya utaratibu. yaani ni kupata kipato unaishi basi nothing extra, nothing new. changamoto za maisha zina raha yake. Ni sawa na kuwa mchungaji halafu hutaki kushambuliwa na shetani mwisho wa siku unakosa ushuhuda. lakini maisha ya mbariga mbariga unafika mahala Mungu anafanya jambo jipya hata ukifika madhabahuni huhangaiki kupata ushuhuda( mifano ya maisha yako mwenyewe) Mahubiri yasio na ushuhuda huwa ni mepesi sana. lakini ukipitia mbariga mbariga msikilizaji anatamani uendelee kuongea.

Kuna mchungaji aliwahi kufunga kwa ajili ya mkutano porini siku ya mkutano akaamua kujilaza kidogo ili baadae aamke aanze safari ya kwenda mkutanoni. anakuja kustuka bado kama dakika 15 muda wa kuhubiri uanze na yeye alikuwa masafa marefu porini akataka kulia. out of no where akajikuta yupo karibu na eneo la mkutano ikabaki kujazilishia tu kuvuka barabara na kufika uwanjani. Mkono wa Bwana ulionekana kwa kiwango kingine kabisa
 
Back
Top Bottom