comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,532
- 11,709
Sikujua kama wanakabia juu Hadi Kwenye mitaa ambayo sio ya kibiashara, mfano MTU kajenga nyumba mbele kaweka frem ndogo na haipo karibu na barabara kuu IPO mbali kabisa, lakn wanakimbizana na Raia.
Leo nmeshangaa Sana wamama wanaokimbilia ndani huku wakifunga biashara zao wakitoa matusi ya nguoni Kwa Daktari Samia wakidai deni la taifa linawatesa wao na hawajafaidika na hizo pesa zilizokopwa.
2025 ngumu Sana hii, halimbaya mtaani.
Leo nmeshangaa Sana wamama wanaokimbilia ndani huku wakifunga biashara zao wakitoa matusi ya nguoni Kwa Daktari Samia wakidai deni la taifa linawatesa wao na hawajafaidika na hizo pesa zilizokopwa.
2025 ngumu Sana hii, halimbaya mtaani.